Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,706
1. HAKIKISHA UNAFAHAMU HASIRA ZAKE ZIKOJE
Kila mtu huwa anakasirika hivyo ili uweze kuishi na mpenzi wako vizuri Unatakiwa ujue hasira yake ikoje? Je! Huwa anakasirika haraka au anachelewa kukasirika? Na Kama akikasirika huwa anaonekanaje? Akikasirika huwa anakuwa na lugha ya Aina gani? Hapo utaishi naye vyema.
2. TAMBUA VIPAUMBELE VYAKE
Kila mwanadamu ana vipaumbele vyake, Mimi Nina vipaumbele vyangu na wewe una vipaumbele vyako kwa maana hiyo unapaswa ujue mpenzi wako anapendelea vitu gani hasa kwenye maisha yake, hiyo itakusaidia kujua namna ya kuishi naye kulingana na vipaumbele vyake
3. IMANI YAKE JUU YA MAISHA
Imani ni kitu kinachoendesha maisha ya watu kwa maana hiyo huyo mpenzi wako naye ana Imani juu ya maisha na Imani hiyo lazima uitambue. Kwahiyo kazi yako ni kuhakikisha unatambua kwamba yeye kwenye maisha ana amini nini? Moyo wake una Amini Nini juu ya wanawake/wanaume katika maisha?
4. JUA VITU ANAVYO VIPENDA NA ASIVYO VIPENDA
Kila mwanadamu Kuna vitu hutamani afanyiwe na mwanadamu mwenzake. Kwahiyo unapaswa ujue mpenzi wako vitu gani hapendi wewe uvifanye na anapenda vitu gani uvifanye. Hii itasaidia kuokoa migogoro isiyokuwa na tija yoyote ile.
5. FAHAMU MADHAIFU YAKE JAPO KWA SEHEMU TU
Hakuna aliye mkamilifu hilo twajua, kumbe hata mpenzi uliye naye ana MADHAIFU yake na kwa kawaida MADHAIFU hukera kwahiyo ili uweze kuepuka unatakiwa ujue Kuwa mwenzako ana shida hapa na hapa ili ikitokea amefanya tofauti wewe usipate tabu Bali uwe na moyo wa kumwombea ili Mungu amsaidie kwenye MADHAIFU yake.
Kila mtu huwa anakasirika hivyo ili uweze kuishi na mpenzi wako vizuri Unatakiwa ujue hasira yake ikoje? Je! Huwa anakasirika haraka au anachelewa kukasirika? Na Kama akikasirika huwa anaonekanaje? Akikasirika huwa anakuwa na lugha ya Aina gani? Hapo utaishi naye vyema.
2. TAMBUA VIPAUMBELE VYAKE
Kila mwanadamu ana vipaumbele vyake, Mimi Nina vipaumbele vyangu na wewe una vipaumbele vyako kwa maana hiyo unapaswa ujue mpenzi wako anapendelea vitu gani hasa kwenye maisha yake, hiyo itakusaidia kujua namna ya kuishi naye kulingana na vipaumbele vyake
3. IMANI YAKE JUU YA MAISHA
Imani ni kitu kinachoendesha maisha ya watu kwa maana hiyo huyo mpenzi wako naye ana Imani juu ya maisha na Imani hiyo lazima uitambue. Kwahiyo kazi yako ni kuhakikisha unatambua kwamba yeye kwenye maisha ana amini nini? Moyo wake una Amini Nini juu ya wanawake/wanaume katika maisha?
4. JUA VITU ANAVYO VIPENDA NA ASIVYO VIPENDA
Kila mwanadamu Kuna vitu hutamani afanyiwe na mwanadamu mwenzake. Kwahiyo unapaswa ujue mpenzi wako vitu gani hapendi wewe uvifanye na anapenda vitu gani uvifanye. Hii itasaidia kuokoa migogoro isiyokuwa na tija yoyote ile.
5. FAHAMU MADHAIFU YAKE JAPO KWA SEHEMU TU
Hakuna aliye mkamilifu hilo twajua, kumbe hata mpenzi uliye naye ana MADHAIFU yake na kwa kawaida MADHAIFU hukera kwahiyo ili uweze kuepuka unatakiwa ujue Kuwa mwenzako ana shida hapa na hapa ili ikitokea amefanya tofauti wewe usipate tabu Bali uwe na moyo wa kumwombea ili Mungu amsaidie kwenye MADHAIFU yake.