Vitu vidogo tu lakini..


Hii ni sawa kununua kitu cha mia sita, unatoa buku na muuzaji akikuuliza 'una shilingi mia unipe nikupe mia tano'. unamwambia tu kata huko huko kwenye buku yangu! ANAWEZA KUPA MIA TANO??
 
ongezea shilingi mia upewe embe
 
Dah umetisha mkuu
Hii ni sawa kununua kitu cha mia sita, unatoa buku na muuzaji akikuuliza 'una shilingi mia unipe nikupe mia tano'. unamwambia tu kata huko huko kwenye buku yangu! ANAWEZA KUPA MIA TANO??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…