Vitu mtoto wa Kiume hatakiwi kufanya

Kujilamba mdomo wakati wa kuongea
Kuvaa hereni! !
Kujichubua!!
Kujipendekeza kwa wanaume wenzio kisa tu anapesa au maarufu! !
Kuazima nguo! !
Kujikuna kichwani na kidole cha kati! !
 
Jamaa kajaza mbaya bonge baunsa,anakuletea soo!
Mtoto wa kiume hapo ukimbie au mtandikane?
Izo nyama tu ata kwenye sambusa zipo..
.usiogope nyama.
Baunsa akija kwanza kabla ya yote mpige fingers za macho....then mpige vitasa usoni na kwenye mbavu. Then tambaa.
 
1. Ata uone kitu kimekaa poa niaje hutakiwi kusema," Awww, that's soo cute.Huo ni ushoga mtu wangu.
2. Haufai kusema aya maneno kuonyesha umeshtuka," Gosh, Akaah,
ama OMG'
3. Ukiomba kitu hufai kusema," Jamaaaniiiii au pliizzzz '
4. Ukitext please usitumie," Xo' 'Xema' 'Xaxa' 'Pouwar' ama 'Xwirry'
5. Kummendea demu/mke wa rafiki yako, shemeji shemeji kibao ..shauri yako utakojoa dagaa .
6. Hufai kuongea kuhusu washikaji wengine ukiwa na madem. Huo ni umbea mwanangu.
7.Rangi ya pink usiitumie sana kwenye vitu vyako ata kama unaipenda sana.
8. Dem akikukataa chapa lapa kiroho safi na sio eti uanze kudanganya masela ooh yule mi nishammega.
9. Usiongeeongee eti unaeza kumpiga mtu flani. Huo ni utoto, kama vp nenda kampige tuone.!
10. Usiwe mtu wa kununa ovyo ovyo, alafu kuhusu vitu vidogo vidogo, mfano; msela kachelewa kujibu msg yako..basi unanuna siku nzima unamnunia nani !
11. Kuchek tamthiliya tena na madem alafu mnaanza kuhadithiana ilivyokuwa.! sijui Aliando vile mara MariaClara hivi


[HASHTAG]#Ongezea[/HASHTAG] zingine.
mtoto wakiume hafai kutoa mada kama hizi kuhusu wanaume wenzake labda awe shoga,ni mwanamke tu ndio anajua mwanaume kamili,
 
Kunywa savanna na amarula! Mtoto wa kiume unagonga lager km castle na safari ala
 
Dooh. Basi kama ni ivyo mbona wanaume wote watakuwa ovyo. Ila mimi piga ua napenda sana taarabu na hasa nyimbo za mzee yusuph. Ila ni mwanaume rijali. Asikwambie mtu taarab raha na hasa kama umekulia mikoa ya pwan kama dar.
Wanaume wa pwani na dar mnapenda sana taarabuu kumbe
 
Mtoto wa kiume hutakiwi kua umejinenepea hovyo,umejazia sehem zote kama kiroba

mtoto wa kiume hutakiwi kutembea umelegea legea kama msichana,tembea kikakamavu
Hyo ya pili kweli aisee haruc moja hivi nilikwenda bwana haruc huo mwenso wake yaani shoga huyu hapa.sikupenda
 
mtoto wa kiume kulalama kama mwandika thread hii.. mtoto wa kiume kula kavu potezea si ushajuwa ni ushoga
 
Back
Top Bottom