Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,865
- 2,177
Unaona upumbavu wako. Yaani wewe unaaminishwa ukifa ndo utamuona. Hivi inakuingia akilini kweli hiyo? Yaani hata hushtuki? Jamani Hebu fungukeni japo kidogo. Hata kujiuliza swali dogo tu. Kuwa kama huyu mungu yupo na yeye ndo aliumba kila kitu, kwanini kumuona mpaka ufe? Kwaakili zako unaamini ukifa, basi ubongo wako utaendelea kufanya kazi
KUBISHANA NA IMANI MKUU UTAUMIA JUST LIVE WITH WHAT U BELIEVE USITUFANYE TUWE MLANGO WAKO WOTE JIPIME NA SI KILA KITU NI KUBISHANA