Vitu ambavyo vingefanyika kama Mungu angekuwepo kweli

samahani mkuu mimi ningependa kujua wew dini yako ya sasa ni ipi usiaada ya kuona hizo dini ni upuuzi?
Siamini dini yoyote ila naamini kutenda wema kwa binadamu mwezako ndio cha maana, usimtendee mwezako jambo ambalo wewe usingetaka kutendewa. Naamini mungu yuko lakini sio uyo mungu Wa mtu mweupe.
 
Siamini dini yoyote ila naamini kutenda wema kwa binadamu mwezako ndio cha maana, usimtendee mwezako jambo ambalo wewe usingetaka kutendewa. Naamini mungu yuko lakini sio uyo mungu Wa mtu mweupe.
Lakini Mungu ni zao la watu weupe
 
Lakini Mungu ni zao la watu weupe

Lakini Mungu ni zao la watu weupe
Haiwezeka kuwa mungu ni zao ya MTU
Mweupe, kwani miaka mingi zaidi hata kama mtu mweupe hakuwa anajua Mahali Afrika ilipo katika ndunia, mababu zetu walikuwa wanaabudu mungu wao kwa milima ,mito , Miti nk soma historia vizuri mungu sio Wa mtu mweupe cha mtu mweupe ni hivyo vitabu alio andika na kuwaletea. Lakini kwa wanao jua kuwa uko kwao hivyo vitabu wengi wanaziona kama novels/ story books ila waafrika wanazipea umuhimu sana.
 
Binadamu wengi wa leo tuna "crave" kuongozwa ingawa tuliumbwa kuwa viongozi kila mmoja wetu

Yote katika yote kuna kitu kinaitwa "free will" nadhan ulishakisikia ingawa hukielewi vizuri
 
Haiwezeka kuwa mungu ni zao ya MTU
Mweupe, kwani miaka mingi zaidi hata kama mtu mweupe hakuwa anajua Mahali Afrika ilipo katika ndunia, mababu zetu walikuwa wanaabudu mungu wao kwa milima ,mito , Miti nk soma historia vizuri mungu sio Wa mtu mweupe cha mtu mweupe ni hivyo vitabu alio andika na kuwaletea. Lakini kwa wanao jua kuwa uko kwao hivyo vitabu wengi wanaziona kama novels/ story books ila waafrika wanazipea umuhimu sana.
Ok
 
Vitu ambavyo vingefanyika kama mungu angekuwepo kweli;

1. Shetani asingekuwepo
2. Watu wote wangekua sawa
3. Dini zisingekuwepo. Hata kama zingekuwepo basi ingekua moja tu
4. Viumbe hai vyote vingeabudu.
5. Watu wangejua uwepo wake pale wanapozaliwa tu. Yaani isingekua ni taarifa iliyobebwa na watu fulani kuwaletea wengine.
6. Watu wasingekufa au kama wangekufa, basi kungekua na umri maalum wa kifo
7. Kungekua hakuna kazi nyingine zaidi ya kuabudu na kutukuza uwezo wake
___________________________

1. Shetani asingekuwepo

Hiki ndo kitu cha kwanza ambacho kingefanyika kama mungu angekuwepo kweli. Unajua kwanini nasema hivi? Kwasababu uwepo wa shetani kwenye ufalme wa mungu, una mashaka makubwa. Hivi ulishawahi kujiuliza, ulikua mpango wa nani kuwepo kwa shetani? Je, ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?

Kama ulikua ni mpango wa mungu, sasa kwanini vitabu vimuone shetani ni muasi?

Na kama ilikua ni kufeli kwa mungu, basi huyu mungu hana nguvu kama tunavyoaminishwa

2. *Watu wote wangekua sawa*
Hii ni sababu kubwa sana. Kama mungu anayetajwa, angekuwepo kweli. Basi binadamu wote wangekua sawa. Kusingekua na matabaka wala kusingekua na utofauti wowote. Maana angewaumba watu kwa kusudi moja.

3. *Dini zisingekuwepo*. *Hata kama zingekuwepo basi ingekua moja tu*
Kwanini nasema hivyo. Kwasababu hizi dini zilizopo sasa zinapingana. Na ukiangalia utagundua wanaabudu miungu tofauti. Kwa mfano. Waislam wana mungu wao wanamuita _allah_. Huyu mungu ni tofauti kabisa na mungu wa wakristo anayeitwa _jehova_. Hata ukiangalia historia zao, utagundua hawa ni miungu wawili tofauti.

4. *Viumbe hai vyote vingeabudu*
Hili halina ubishi. Kama mungu angekuwepo kweli basi Viumbe vyote alivyoviumba yeye vingehudhuria ibada za kumtukuza maana vimepewa uhai kama alio nao mwanadamu

5. *Watu wangejua uwepo wake pale tu wanapozaliwa*
Hii Ina maana kwamba. Kama kweli mungu angekuwepo na ndiye aliyeumba kila kitu, kusingekua na haja ya watu kusafiri kutoka mataifa ya mbali eti waje watuambie kuwa Kuna kitu kilituumba na ndo kilifanya kila kitu. Pale pindi mtoto anapozaliwa, angekua na uwezo wa kutambua kuwa kilichomleta ni nini na amekuja kufanya nini. Kama ilivyo kwa anapo tafuta ziwa la mama yake

6. *Kusingekuwepo na kifo*
Kama Lengo la kumuumba mwanadamu lilikua ni kumuabudu mungu na kumtukuza, basi kifo kisingekuwepo. Kwanini nasema hivyo? Kwasababu uumbwaji wa dunia haukua wa majaribio

7. *Kungekua hakuna kazi nyingine zaidi ya kuabudu*
Hili lipo wazi kwa wale wenye uwezo wa kutafakari. Ukisoma kwenye bible juu ya uwezo wa mungu, utaogopa. Asingeshindwa kuondoa njaa na kiu kwenye mwili wa mwanadamu kama Lengo lake lilikua ni kuabudiwa.
Kwa maana neno la msalaba ni upuuzi kwao waliopotea, bali kwetu tuliookolewa ni nguvu ya Mungu
 
Mtoa mada katika maswali ambayo huwezi kupata majibu toka kwa wabongo ni hayo yanayohusu hizo dini mbili. Wanaojifanya wanajua wataishia kukuambia 'unakufuru' Mara 'shetani ndio anakuongoza hivyo'. Nikiwa mdogo niliamini Jerusalem na kanaani ni miji ambayo iko mbinguni mpaka nilipopata ufahamu wa jiografia ndio nikagundua kuwa ni miji ambayo iko hapahapa duniani na hii nitokana na mafundisho yaliyotolewa na watu wanaosoma sana biblia na kukariri kwamba jambo lolote ndani y yake ni la mbinguni.
 
No. 7 imekaa vizuri sana hata Mimi linanifikirisha sana suala hili.Pengine huwa najiuliza hivi huyu Mungu wetu kwanini ni katili na mpenda makuu kiasi hiki? Mimi binafsi mtu akinisifu na kunitukuza kwa Siku Tatu tu nitamtunuku Certificate of Appreciation.

Pamoja na mahangaiko na mateso ambayo automatically ukizaliwa unakutana nayo, bado vitabu vitakatifu vinasema kuna Adhabu ya moto wa milele, wakati huo huo ukitafakari kwa kina HAKUNA DHAMBI duniani yenye uzito wa kuchomwa moto milele. Namaanisha Masaa 24 wewe unaunguzwa...milele yani hakuna pause wala break time.

Hata ww usinge kuwepo na hayo mawazo yako ya kipumbavu yasingekuwepo
 
Mkuu wewe unayeamini mungu, ndiye unayeamini shetani yupo. Ndio maana nimesema kama mungu angekuwepo kweli, basi usingesikia habari za shetani. Hivi umewahi kujiuliza kuwa "uwepo wa shetani ulikua ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu" Hebu Jiulize hilo swali kwa makini alafu njoo na majibu

Swali dogo tu kwako ulishawahi kujiuliza nani alikuumba na uko hapa duniani kwa sababu gani na ukisha kufa unakwenda wapi na baada ya kufa kuna nini
 
Mtoa mada katika maswali ambayo huwezi kupata majibu toka kwa wabongo ni hayo yanayohusu hizo dini mbili. Wanaojifanya wanajua wataishia kukuambia 'unakufuru' Mara 'shetani ndio anakuongoza hivyo'. Nikiwa mdogo niliamini Jerusalem na kanaani ni miji ambayo iko mbinguni mpaka nilipopata ufahamu wa jiografia ndio nikagundua kuwa ni miji ambayo iko hapahapa duniani na hii nitokana na mafundisho yaliyotolewa na watu wanaosoma sana biblia na kukariri kwamba jambo lolote ndani y yake ni la mbinguni.
Sio kila limeadikwa kwa hipi vitabu ni sahi ni vizuri kufikiria mwenyewe
 
Ulicho kiongea ni kweli kabixa uwa nasoma sana biblia na fuatilia na dini sana ila katika kufuatilia kuna mambo yananichanganya sana kuhusu hii dunia mungu na wanadamu

innocentkirumbuyo usichanganyikiwe na matendo ya binadamu kwasababu hayo yote ni matokeo ya UHURU WA KUAMUA (FREE WILL) tuliopewa na Mungu.
Hicho ndo kitu kikubwa sana Mungu alichotupa baada ya uhai, uwezo wa kujiamulia tunachotaka. Hicho ndo kinamfanya mtu ajiite mchungaji ama muumini mzuri lakini akatenda kinyume na anavyopaswa, kwasababu tu ana uwezo wa kuchagua na kuamua mwenyewe.

Ukisema uwafuatilie watu wa design hiyo na imani yako iwategemee wao imani yako itabadilika mara kwa mara. Leo utasema naamini kwasababu huyu na yule wanafanya sawasawa na mafundisho, kesho utasema huamini kwasababu umeona mwingine anafanya sivyo.

Jiamulie wewe mwenyewe kumuamini ama kutokuamini uwepo wa Mungu katika maisha yako. Jiangalie mwenyewe, utafute uwepo wake katika maisha yako mwenyewe. Watu wengine wengi wataishia kuku-disappoint tu kwa sana. Mwisho wa siku utajikuta unaanguka kwasababu ya matendo ya watu wengine.
 
1. Shetani asingekuwepo

Hiki ndo kitu cha kwanza ambacho kingefanyika kama mungu angekuwepo kweli. Unajua kwanini nasema hivi? Kwasababu uwepo wa shetani kwenye ufalme wa mungu, una mashaka makubwa. Hivi ulishawahi kujiuliza, ulikua mpango wa nani kuwepo kwa shetani? Je, ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?

Kama ulikua ni mpango wa mungu, sasa kwanini vitabu vimuone shetani ni muasi?

2. *Watu wote wangekua sawa*
Hii ni sababu kubwa sana. Kama mungu anayetajwa, angekuwepo kweli. Basi binadamu wote wangekua sawa. Kusingekua na matabaka wala kusingekua na utofauti wowote. Maana angewaumba watu kwa kusudi moja.

3. *Dini zisingekuwepo*. *Hata kama zingekuwepo basi ingekua moja tu*

4. *Viumbe hai vyote vingeabudu*

5. *Watu wangejua uwepo wake pale tu wanapozaliwa*

6. *Kusingekuwepo na kifo*

7. *Kungekua hakuna kazi nyingine zaidi ya kuabudu*
Mtoa mada nusuhela naomba nijibu baadhi ya hoja zako kama sio zote.

#1 Wewe umewahi kusoma biblia? Unajua nini kilitokea pale mwanzo? Adam na Eva walipowekwa kwenye garden ya Eden walipewa masharti gani? Kutokula matunda ya mti wa katikati, alafu akaja nyoka akamwambia Eva ale, akashawishika na kumshawishi Adam. Ule ulikuwa ni mtihani ambao binadamu alifeli. Aliambiwa usifanye kitu fulani yeye akajifanyia kwa maamuzi yake binafsi.

Hiyo yote inatokana na kwamba Mungu alipomuumba mwanadamu hakutaka kumuendesha kama robot, alimpa uwezo wa kufikiri, kupanga na kuamua atakavyo. Ulishawahi kujiuliza kama Eva angesikiliza alichoagizwa na Mungu tu maisha yangekuwaje? Ni hivi, katika maisha ya mwanadamu kila unachofanya lazima kikuletee matokeo either positive au negative. Ni sawasawa na pale mzazi anapomkanya mtoto kuhusu jambo fulani alafu mtoto anaamua kufanya anyway. Nini kitafuata? Lazima kuna kitu kitaenda ndivyo sivyo na pia lazima kutakuwa na matokeo ya atakachokifanya mtoto.

#2,3 na 4 tunarudi pale pale kwenye UWEZO/UHURU WA KUJIAMULIA - FREE WILL.

Hatuwezi kuwa sawa kwasababu tumeshapewa uwezo wa kujiamulia kufanya tunayotaka jinsi tunavyotaka. Na kila mtu anafanya mambo yake tofauti na mwezie kwahiyo matokeo hayawezi kuwa sawa. Hapo ni sawa na kutaka mtu anaetembea kwa miguu, anaeendesha gari na anaekimbia kuelekea Tegeta kutokea Mwenge wote wafike Tegeta kwa wakati mmoja na katika hali ya kufanana wakati method zao zinatofautiana. Ukweli ni kwamba HAIWEZEKANI. Kuna atakayetangulia kufika, kuna atakaekua amechoka sana na pengine mwingine anaweza asifike kabisa kwasababu muda utamuacha.

Dini nyingi nazo ni matokeo ya ujuaji wetu sisi wanadamu. Tunatumia uwezo na uhuru tuliopewa kupinga na kukataa uwepo wa Mungu aliyetupa uwezo huo to begin with.

Kwenye swala la kuabudu nalo tunarudi palepale kwenye free will. Tumepewa uhuru, hatulazimishwi kumuabudu Mungu ili pale tunapomuabudu iwe tumechagua sisi kuwa hivyo. Ukitaka kujua raha ya hili jambo angalia mahusiano yako, jiulize wewe utafurahia zaidi mahusiano ya kuchaguliwa kwa shurti au kwa matakwa ya aliyekuchagua? Utafurahia kuchaguliwa kwasababu mtu amekosa choice nyingine au kwasababu HATAKI choice nyingine? Kama una mtoto/watoto, jiulize unafurahi zaidi pale mwanao anapofanya jambo zuri kwa kiboko au kwa kujiongoza yeye mwenyewe? Majibu ya maswali hayo yatakusaidia kuelewa kwanini Mungu ametupa uhuru wa kuchagua na kwanini anatuacha tuhangaike kuabudu miungu mingine.

#5 Unachokitaka kiko nje kabisa ya uwezo wa binadamu. Wewe ulipozaliwa ulizaliwa ukiwa unajua nini? Utajuaje uwepo wa kitu bila uelewa juu yake? Hicho ni kitu kisichowezekana.

#6 Kwanini kusiwepo na kifo? Uwepo wa kifo unasababisha vipi doubt kuhusiana na uwepo wa Mungu? Kwanini unataka tuwe na mwanzo ila tusiwe na mwisho? Huoni kwamba maisha yatakosa maana na hata purpose?

#7 Hapo tungekuwa tumenyimwa uwezo wa kufanya maamuzi kwasababu kungekuwa hamna kitu cha kufanyia maamuzi. Mungu hakutaka kufanya maisha yetu kuwa hivyo. Kwasababu alitupa free will aliona pia ni vyema tuwe na sababu/matukio yatakayotupa nafasi ya kuifanyia kazi hiyo free will, otherwise ingekuwa meaningless.
 
Vitu ambavyo vingefanyika kama mungu angekuwepo kweli;

1. Shetani asingekuwepo
2. Watu wote wangekua sawa
3. Dini zisingekuwepo. Hata kama zingekuwepo basi ingekua moja tu
4. Viumbe hai vyote vingeabudu.
5. Watu wangejua uwepo wake pale wanapozaliwa tu. Yaani isingekua ni taarifa iliyobebwa na watu fulani kuwaletea wengine.
6. Watu wasingekufa au kama wangekufa, basi kungekua na umri maalum wa kifo
7. Kungekua hakuna kazi nyingine zaidi ya kuabudu na kutukuza uwezo wake
___________________________

1. Shetani asingekuwepo

Hiki ndo kitu cha kwanza ambacho kingefanyika kama mungu angekuwepo kweli. Unajua kwanini nasema hivi? Kwasababu uwepo wa shetani kwenye ufalme wa mungu, una mashaka makubwa. Hivi ulishawahi kujiuliza, ulikua mpango wa nani kuwepo kwa shetani? Je, ni mpango wa mungu au ni kufeli kwa mungu?

Kama ulikua ni mpango wa mungu, sasa kwanini vitabu vimuone shetani ni muasi?

Na kama ilikua ni kufeli kwa mungu, basi huyu mungu hana nguvu kama tunavyoaminishwa

2. *Watu wote wangekua sawa*
Hii ni sababu kubwa sana. Kama mungu anayetajwa, angekuwepo kweli. Basi binadamu wote wangekua sawa. Kusingekua na matabaka wala kusingekua na utofauti wowote. Maana angewaumba watu kwa kusudi moja.

3. *Dini zisingekuwepo*. *Hata kama zingekuwepo basi ingekua moja tu*
Kwanini nasema hivyo. Kwasababu hizi dini zilizopo sasa zinapingana. Na ukiangalia utagundua wanaabudu miungu tofauti. Kwa mfano. Waislam wana mungu wao wanamuita _allah_. Huyu mungu ni tofauti kabisa na mungu wa wakristo anayeitwa _jehova_. Hata ukiangalia historia zao, utagundua hawa ni miungu wawili tofauti.

4. *Viumbe hai vyote vingeabudu*
Hili halina ubishi. Kama mungu angekuwepo kweli basi Viumbe vyote alivyoviumba yeye vingehudhuria ibada za kumtukuza maana vimepewa uhai kama alio nao mwanadamu

5. *Watu wangejua uwepo wake pale tu wanapozaliwa*
Hii Ina maana kwamba. Kama kweli mungu angekuwepo na ndiye aliyeumba kila kitu, kusingekua na haja ya watu kusafiri kutoka mataifa ya mbali eti waje watuambie kuwa Kuna kitu kilituumba na ndo kilifanya kila kitu. Pale pindi mtoto anapozaliwa, angekua na uwezo wa kutambua kuwa kilichomleta ni nini na amekuja kufanya nini. Kama ilivyo kwa anapo tafuta ziwa la mama yake

6. *Kusingekuwepo na kifo*
Kama Lengo la kumuumba mwanadamu lilikua ni kumuabudu mungu na kumtukuza, basi kifo kisingekuwepo. Kwanini nasema hivyo? Kwasababu uumbwaji wa dunia haukua wa majaribio

7. *Kungekua hakuna kazi nyingine zaidi ya kuabudu*
Hili lipo wazi kwa wale wenye uwezo wa kutafakari. Ukisoma kwenye bible juu ya uwezo wa mungu, utaogopa. Asingeshindwa kuondoa njaa na kiu kwenye mwili wa mwanadamu kama Lengo lake lilikua ni kuabudiwa.
"mpumbavu amesema moyoni, hakuna Mungu" Zaburi 53:1
 
Mpumbavu kasema moyoni mwake hakuna Mungu. Kukataa uwepo wa Mungu ni upumbavu mkubwa tena uliopo moyoni.
 
Mungu yupo.
This discussion has been hot and makes sense. I partly appreciate the thinking and partly differ from the discussant.

I believe that there's God because all beliefs traditional and contemporary do mention God and I have a million questions unanswered.
What I understand is that there is no relationship between imported religions and God. For an African, any attempt to associate God with either Islam or Christianity is a great lie to oneself.

Because our traditional religions were almost totally disrupted, I think it's time now we revive or invent a new religion for Africa. Hii dini tuiite Africanity ama Africanism.

Na binafsi nimeshaanza kuandaa uwezekano wa kua na hii dini ya Muafrika ambayo si ya kiutawala wala ya kibiashara kama hizi mbili zilizo maarufu hapa kwetu.
 
Heri hao wanao habudu miungu yao ya kutoka zama za kale kuliko waafrika walio acha imani yao kufuata imani za kizungu. Nimeishi kuwa mkiristo more than 20 yrs but nishaa fanya research nikajua dini mingi ni upuzi .usifuate penye ulipata wazazi wako wakifanya ukifika 18years una Uhuru Wa kufikiria out side the normal .
This discussion has been hot and makes sense. I partly appreciate the thinking and partly differ from the discussant.

I believe that there's God because all beliefs traditional and contemporary do mention God and I have a million questions unanswered.
What I understand is that there is no relationship between imported religions and God. For an African, any attempt to associate God with either Islam or Christianity is a great lie to oneself.

Because our traditional religions were almost totally disrupted, I think it's time now we revive or invent a new religion for Africa. Hii dini tuiite Africanity ama Africanism.

Na binafsi nimeshaanza kuandaa uwezekano wa kua na hii dini ya Muafrika ambayo si ya kiutawala wala ya kibiashara kama hizi mbili zilizo maarufu hapa kwetu
 
This discussion has been hot and makes sense. I partly appreciate the thinking and partly differ from the discussant.

I believe that there's God because all beliefs traditional and contemporary do mention God and I have a million questions unanswered.
What I understand is that there is no relationship between imported religions and God. For an African, any attempt to associate God with either Islam or Christianity is a great lie to oneself.

Because our traditional religions were almost totally disrupted, I think it's time now we revive or invent a new religion for Africa. Hii dini tuiite Africanity ama Africanism.

Na binafsi nimeshaanza kuandaa uwezekano wa kua na hii dini ya Muafrika ambayo si ya kiutawala wala ya kibiashara kama hizi mbili zilizo maarufu hapa kwetu.

Africans we had false gods; trees,rivers and rocks now if this is what you want fine....do it yourself
 
Back
Top Bottom