real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
yeye huyo Mungu aliyetuumba si ana wajibu wa kutupa pumzi ili tuishi? alipaswa atunyime tuilipie? kutupa pumzi sio favor mkuu, kwa kuwa ameumba viumbe hai ni sharti avipe pumzi ili viwepo, ni kama wewe unapopanda mimea ni sharti uipe maji ili iwepo na hiyo sio favorMkuu hana kama hana huruma pumzi unalipia beigani mwenzetu?