wewe toka lini kiswahili kakawa cha kwako, usijitie mkosoaji huku hukijui vizuri. nawashangaa sana watu kama wewe hivi unaju kuna misamiati mingapi kwenye kiswahili?Sisi Ndio kiswahili Cha kwetu bado watu tuna kiharibu namna hii inasikitisha tafadhalini jamani pitieni mnacho andika kabla hamja peleka kwa wengine asanteni
Asanteni =ahsanteniSisi Ndio kiswahili Cha kwetu bado watu tuna kiharibu namna hii inasikitisha tafadhalini jamani pitieni mnacho andika kabla hamja peleka kwa wengine asanteni
Ww ulipitia kabla ya kuileta hapa?,hakuna alama za mkato wala nukta....Sisi Ndio kiswahili Cha kwetu bado watu tuna kiharibu namna hii inasikitisha tafadhalini jamani pitieni mnacho andika kabla hamja peleka kwa wengine asanteni
Maneno kuntu haya ila makali sana kwa wahusika.Arsenal kuchukua UEFA Champions League
Kakuta nafasi zote za Uongozi Chadema Watu wamebadilika kasoro nafasi ya Uenyekti!
Shkh pohamba!!! Nidokeze kidogo kuhusu babu seya....alikuwa nani pale chadema? Mara oh kashangaa kusikia mbowe akiwa bado mwenyekiti...kulikoni shkh wangu!!!
Masuala ya Jokes chukulia Ki jokes otherwise utasononesha nafsi yako!