Vits au swift ya mil 3.5 inahitajika

Vits au swift ya mil 3.5 inahitajika

inspectorbenja

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2012
Posts
650
Reaction score
716
Wadau habari, nahitaji VITS au SWIFT for mil 3.5. Najua muda huu kuna mtu ana anauza gari kati ya hizo kwa bei hiyo.

Kwa ajili ya biashara serious tafadhali ni pm na picha.
 
Vits mdau
Safi sana umepata gari. Vitz ni gari ambayo ni rahisi sana kutengenezeka ndio maana mpk leo Namba A bado zinadunda kitaani. Ukipata pesa baadae ikarabati irudi kwenye mstari uendelee kufurahia mema ya nchi. Na kwa mafuta Vitz inanusa tu
 
Safi sana umepata gari. Vitz ni gari ambayo ni rahisi sana kutengenezeka ndio maana mpk leo Namba A bado zinadunda kitaani. Ukipata pesa baadae ikarabati irudi kwenye mstari uendelee kufurahia mema ya nchi. Na kwa mafuta Vitz inanusa tu
Vp vitz uki compare na raum.
 
Mkuu..nina 3mil...nahitaji vits..naomba connection ya mdau wako...nimuagize fundi chap
 
Back
Top Bottom