PostGE2025 Vitisho vya Mwijaku kabla 29 October

PostGE2025 Vitisho vya Mwijaku kabla 29 October

Conversations and stories after Tanzania's 2025 General Elections

Busu la Kenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2025
Posts
2,331
Reaction score
4,241
Video chini Mwijaku akichimba mkwara mzito kwa waandamanaji. Baadaye akaifuta lakini watu tulishaisave.

 
Mdomo uliponza kichwa.
Ana bahati hawakwenda kumsalimia nyumbani kwake.
Wangemlipa wema kwa kuahidi angekwenda kuwaona MNH Mwaisela Ward.
 
Kati ya watu waliobaki matahira Tz hii ni huyu jamaa huu uchawa wake una mwisho.
Na mwisho wake ni mbaya saana
 
9D tukamsalimie, bila shaka atakuwa ameandaa pilau la kilo mia tunakula na kusepa zetu, hiyo ndio salama yake.
 
Back
Top Bottom