K karuchua New Member Joined May 3, 2013 Posts 3 Reaction score 0 May 3, 2013 #1 Ni wepi naweza pata vitenge kwa bei ya wholesale?
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,493 Reaction score 7,421 May 3, 2013 #2 kigoma unapata vizuri,kariakoo,na clock tower
Nivea JF-Expert Member Joined May 21, 2012 Posts 7,460 Reaction score 4,771 May 3, 2013 #3 Hujasema hata uko wapi jamani kuweni serious kama kweli unahitaji msaada ,sema uko wapi etc
Mrimi JF-Expert Member Joined Jul 18, 2011 Posts 1,691 Reaction score 640 May 3, 2013 #4 Nivea said: Hujasema hata uko wapi jamani kuweni serious kama kweli unahitaji msaada ,sema uko wapi etc Click to expand... Kuna mtu yuko meya,hapo je,yeye atasaidiwaje? Natanguliza shukrani.
Nivea said: Hujasema hata uko wapi jamani kuweni serious kama kweli unahitaji msaada ,sema uko wapi etc Click to expand... Kuna mtu yuko meya,hapo je,yeye atasaidiwaje? Natanguliza shukrani.
K karuchua New Member Joined May 3, 2013 Posts 3 Reaction score 0 May 6, 2013 Thread starter #5 Mrimi said: Kuna mtu yuko meya,hapo je,yeye atasaidiwaje? Natanguliza shukrani. Click to expand... mie niko nairobi,kenya
Mrimi said: Kuna mtu yuko meya,hapo je,yeye atasaidiwaje? Natanguliza shukrani. Click to expand... mie niko nairobi,kenya
K karuchua New Member Joined May 3, 2013 Posts 3 Reaction score 0 May 6, 2013 Thread starter #6 adharusi said: kigoma unapata vizuri,kariakoo,na clock tower Click to expand... je ni wax ama ni printed zenye ziko huko,sana sana katika kariakoo?
adharusi said: kigoma unapata vizuri,kariakoo,na clock tower Click to expand... je ni wax ama ni printed zenye ziko huko,sana sana katika kariakoo?
Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,493 Reaction score 7,421 May 6, 2013 #7 karuchua said: je ni wax ama ni printed zenye ziko huko,sana sana katika kariakoo? Click to expand... kigoma ndo vinapatikana wax vya uhakika,wanachukulia kongo,
karuchua said: je ni wax ama ni printed zenye ziko huko,sana sana katika kariakoo? Click to expand... kigoma ndo vinapatikana wax vya uhakika,wanachukulia kongo,
mwekundu JF-Expert Member Joined Mar 4, 2013 Posts 22,477 Reaction score 21,037 May 6, 2013 #8 karuchua said: Ni wepi naweza pata vitenge kwa bei ya wholesale? Click to expand... nitafute au ni pM kwa namba hii 0717452805
karuchua said: Ni wepi naweza pata vitenge kwa bei ya wholesale? Click to expand... nitafute au ni pM kwa namba hii 0717452805
ladyfurahia JF-Expert Member Joined May 10, 2011 Posts 14,758 Reaction score 9,592 May 8, 2013 #9 nenda kigoma kuna vitenge vya uhakika, na hata kitumbini kule karibu na mnazi mmoja dar es salaam utapata vitenge kama uko mwanza nenda mwanza town utapata vitenge utachagua utakacho best kila kheri
nenda kigoma kuna vitenge vya uhakika, na hata kitumbini kule karibu na mnazi mmoja dar es salaam utapata vitenge kama uko mwanza nenda mwanza town utapata vitenge utachagua utakacho best kila kheri