jerrytz
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 5,980
- 4,284
Habari hii ni kwa mujibu wa Gazeti la ''Zanzibar Leo''....
Katika hali ya kustaajabisha vitendo vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi katika kisiwa cha Pemba. Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari kumekuwepo na mfululizo wa matukio ya ubakaji katika miezi ya karibuni kwa kiwango kinachotia hofu na kushangaza kiasi cha kuwatia hofu wananchi wa kisiwa hicho.
Kwa kweli hii ianasikitisha sana
Habari zaidi soma gazeti la Zanzibar Leo
Katika hali ya kustaajabisha vitendo vya ubakaji vimeongezeka kwa kasi katika kisiwa cha Pemba. Kwa mujibu wa chanzo hicho cha habari kumekuwepo na mfululizo wa matukio ya ubakaji katika miezi ya karibuni kwa kiwango kinachotia hofu na kushangaza kiasi cha kuwatia hofu wananchi wa kisiwa hicho.
Kwa kweli hii ianasikitisha sana
Habari zaidi soma gazeti la Zanzibar Leo