Habari wanandugu,
Hivi kati ya nadharia na vitendo katika kozi ya utabibu wapi ni pagumu zaidi, yaani Kama ni mwanafunzi unakuta anajua nadharia vizuri lakini ukimpeleka kwenye vitendo hajui na mwingine anajua vitendo lakini nadharia hajui.
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza mpaka Sasa sijui ni wapi nikomalie zaidi Kati ya nadharia au vitendo.
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app
Hivi kati ya nadharia na vitendo katika kozi ya utabibu wapi ni pagumu zaidi, yaani Kama ni mwanafunzi unakuta anajua nadharia vizuri lakini ukimpeleka kwenye vitendo hajui na mwingine anajua vitendo lakini nadharia hajui.
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza mpaka Sasa sijui ni wapi nikomalie zaidi Kati ya nadharia au vitendo.
Sent from my CPH2179 using JamiiForums mobile app