Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 39,812
- 61,489
Vitanda vya zege vinaimarisha ndoa, hata kama umepanga havisumbui majirani hata watoto wanakuwa hawaelewi kinachoendelea. Mnavyojua mahaba ili yaende vizuri yanahitaji utulivu, kwa hiyo nawashauri achaneni na vitanda vya chuma, mbao n.k
Muhamie kwenye vitanda vya zege. Gharama yake ni nafuu sana, ukiringanisha na faida utakayoipata. Ukiwa mbishi shauri yako,we endelea kutumia hivyo vinavyopiga kelele ambavyo kila ukiinua mkono jirani anajua jamaa anatikisa.
Muhamie kwenye vitanda vya zege. Gharama yake ni nafuu sana, ukiringanisha na faida utakayoipata. Ukiwa mbishi shauri yako,we endelea kutumia hivyo vinavyopiga kelele ambavyo kila ukiinua mkono jirani anajua jamaa anatikisa.