Ukitamburika rasmi manake utakuwa una weza kufanya biashara popote palipo rasmi 20000 kwa mwaka kwa mfanya biashara ata ya 2000 ana weza kuimudu na itaongeza tija kwenye biashara ukichukua elfu 20000 ukagawa kwa mwaka 365 ni sawa kwa siku ni shilingi 54