Vitambulisho vya Wajasiriamali bila Jina, Picha, Anuani, Sahihi wala 'finger prints' ni sawa na kutokuwa na mwenyewe

Usifananishe card za benki na hivi vipande vya karatasi, unaweza kusema card za benki hazina picha lkn imetengenezwa kwa teknolojia ya hali ya juu, zina chip ambayo ina particulars zako zote ulizoandikisha wakati unafungua akaunti, kuanzia jina, picha, sahihi yako, anuani, fingerprints, kazi yako, barua ya serikali za mtaa/kazini, date of birth, shule ulizosoma na everything including spouse and names of some of your relatives.
Card za Benki zinatambuliwa na namba zake zikiwa zimelinkiwa na database ya Benki sawa na vitambulisho hivyo namba zake zimelinkiwa na database ya wajasirimali. Hivyo ukijua namba ya kitambulisho then utamjua mmiliki wa kitambulisho hizo kutoka kwenye database. Haya mambo yanahitaji mtu mwenye uelewa wa database siyo mpiga lamli kama wewe!
 
Card za Benki zinatambuliwa na namba zake zikiwa zimelinkiwa na database ya Benki sawa na vitambulisho hivyo namba zake zimelinkiwa na database ya wajasirimali. Hivyo ukijua namba ya kitambulisho then utamjua mmiliki wa kitambulisho hizo kutoka kwenye database. Haya mambo yanahitaji mtu mwenye uelewa wa database siyo mpiga lamli kama wewe!
Tulia na ueleweke dada. Mbona spidi nyingi?
 
Ndio mapendekezo mnatakiwa myalete hayo

Tunaaza taratibu, hata shule za kata hazikua na maabara sasa zimepata

Yatakuja mabweni kisha wali mashuleni
 
Back
Top Bottom