Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,453
Ni kawaida sana katika nchi hii kuona vitambulisho vya kura vinatolewa bila ubabaishaji.
Hakuna longo longo. Ukifika unajaza taarifa wanakifyatua kitambulisho unapewa right on the spot.
Kwanini mbinu hii isitumike kwenye vitambulisho vya taifa pia? Watu wapate huduma chap chap waendelee na shughuli zingine!
Sasa hii NIDA upange foleni wiki nzima, kisha sijui usubiri namba baada ya miezi sita halafu ukae miaka miwili mpaka wamalize kukifyatua na uwapigie simu na kuwatumia meseji ili kuwakumbusha!
Huu urasimu una malengo gani? ni mkakati wenye nia ovu?
Kwanini ni rahisi sana kupata kitambulisho cha Kura kuliko kitambulisho cha NIDA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna longo longo. Ukifika unajaza taarifa wanakifyatua kitambulisho unapewa right on the spot.
Kwanini mbinu hii isitumike kwenye vitambulisho vya taifa pia? Watu wapate huduma chap chap waendelee na shughuli zingine!
Sasa hii NIDA upange foleni wiki nzima, kisha sijui usubiri namba baada ya miezi sita halafu ukae miaka miwili mpaka wamalize kukifyatua na uwapigie simu na kuwatumia meseji ili kuwakumbusha!
Huu urasimu una malengo gani? ni mkakati wenye nia ovu?
Kwanini ni rahisi sana kupata kitambulisho cha Kura kuliko kitambulisho cha NIDA?
Sent using Jamii Forums mobile app
