Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 May 29, 2017 #1 Habari, Shimso Foods inawaletea huduma ya vitafunwa aina zote kwa wakazi wa dar na vitongoji vyake Vitumbua 300 Chapati 500 Kachori 300 Maandazi 300 Bagia za kunde 250 Bagia za dengu 300 Sambusa za nyama 500 Visheti 200 Karanga za Mayai 500 Pan cake 300 Vyote unaletewa popote ulipo, minimum ni vitafunwa 100, na unaruhusiwa kuchanganya 0714547830 Tunawatakia mfungo mwema
Habari, Shimso Foods inawaletea huduma ya vitafunwa aina zote kwa wakazi wa dar na vitongoji vyake Vitumbua 300 Chapati 500 Kachori 300 Maandazi 300 Bagia za kunde 250 Bagia za dengu 300 Sambusa za nyama 500 Visheti 200 Karanga za Mayai 500 Pan cake 300 Vyote unaletewa popote ulipo, minimum ni vitafunwa 100, na unaruhusiwa kuchanganya 0714547830 Tunawatakia mfungo mwema
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 May 29, 2017 Thread starter #2 Karibuni kwa oda ya kesho *visheti* Kimoja 200, unaletewa ulipo kuanzia visheti 100 0714547830
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 58,374 Reaction score 131,621 May 30, 2017 #3 Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani...
Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani...
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 May 30, 2017 Thread starter #4 RRONDO said: Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani... Click to expand... Kuna wale wenye familia na hawana muda wa kutengeneza vitafunwa na wanapenda home made bites hii ndo suluhisho lao, Hao uliowataja wanalalia sana
RRONDO said: Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani... Click to expand... Kuna wale wenye familia na hawana muda wa kutengeneza vitafunwa na wanapenda home made bites hii ndo suluhisho lao, Hao uliowataja wanalalia sana
RRONDO Platinum Member Joined Jan 3, 2010 Posts 58,374 Reaction score 131,621 May 30, 2017 #5 Pritty wa joseph said: Kuna wale wenye familia na hawana muda wa kutengeneza vitafunwa na wanapenda home made bites hii ndo suluhisho lao, Hao uliowataja wanalalia sana Click to expand... Familia itaagiza vitumbua 100?
Pritty wa joseph said: Kuna wale wenye familia na hawana muda wa kutengeneza vitafunwa na wanapenda home made bites hii ndo suluhisho lao, Hao uliowataja wanalalia sana Click to expand... Familia itaagiza vitumbua 100?
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 May 30, 2017 Thread starter #6 RRONDO said: Familia itaagiza vitumbua 100? Click to expand... Wapo,
Miss Natafuta JF-Expert Member Joined Sep 16, 2015 Posts 28,051 Reaction score 52,593 May 30, 2017 #7 RRONDO said: Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani... Click to expand... nitakuja nikupikie
RRONDO said: Naona nyinyi mnawafaa wenye migahawa na wanaofanya sherehe. Mimi na chapati zangu mbili wacha nikanunue pale kibarazani kwa bibi Mwanauwani... Click to expand... nitakuja nikupikie
BIGstallion JF-Expert Member Joined Sep 13, 2016 Posts 6,324 Reaction score 7,922 May 30, 2017 #8 Ungeanzisha ka van pale posta au kko ungewapata
Pritty wa joseph JF-Expert Member Joined Jul 17, 2014 Posts 2,379 Reaction score 2,051 Jun 6, 2017 Thread starter #9 BIGstallion said: Ungeanzisha ka van pale posta au kko ungewapata Click to expand... Asante kwa ushauri, naahidi kukuletea mrejesho baada ya kulifanyia kazi
BIGstallion said: Ungeanzisha ka van pale posta au kko ungewapata Click to expand... Asante kwa ushauri, naahidi kukuletea mrejesho baada ya kulifanyia kazi