Vitabu hivi vinahitajika

Vitabu hivi vinahitajika

Rai Pazzy

JF-Expert Member
Joined
Jul 6, 2015
Posts
493
Reaction score
187
Hello wanajamvi habari zenu nyote.

Kama kichwa cha habari kinavyosema, kwa mwenye hivi vitabu kwa soft copy itapendeza sana kama ntavipata.

1. Mushi, E.G. (2014). Administrative Law in Tanzania. Mzumbe University

2. Chipeta, D. (2003). Administrative Law in Tanzania: Digest of cases. Dar Es Salaam. Mkuki na Nyota

Kwa mwenye soft copy za hivyo vitabu viwili ntamshukuru sana kama atashare humu.

Thanks in advance
 
Bgn61CmBuIQ
 
soft copy hautavipata, watengeneza vitabu huwa wanakuwa wanaviuza hivyo kukupatia wewe soft copy ili usiwaungishe ni kosa la jinai kwao/impossible. kwa ushauri, tembelea maduka ukanunue. unashauriwa pia kutembelea Vitabu Vya Sheria ~ SHERIA KWA KISWAHILI

instagram bofya Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
Asante kiongozi kwa ushauri wako, ntajaribu kuufanyia kazi
soft copy hautavipata, watengeneza vitabu huwa wanakuwa wanaviuza hivyo kukupatia wewe soft copy ili usiwaungishe ni kosa la jinai kwao/impossible. kwa ushauri, tembelea maduka ukanunue. unashauriwa pia kutembelea Vitabu Vya Sheria ~ SHERIA KWA KISWAHILI

instagram bofya Sheria kwa Kiswahili (@sheriakwakiswahili) • Instagram photos and videos
 
Back
Top Bottom