Vitabu 54 nilivyosoma na kuchambua kwa kina mwaka 2019, na jinsi ya kuvipata

Mi nahitaji vitabu kama hivi lakini hard copy nijisomee mwenyewe nyumbani nikimaliza nibaki navyo kwa ajili ya watu wengine kusoma na pia kiwa na library yangu mwentewe nyumbani. Pia kupunguza addiction yangu na electronic devices kama simu na computer maana vinaharibu macho na macho yangu yameshaanza kuwa na shida. Msaada tafadhali kama naweza kuvipata popote tuwasiliane PM. Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Someni vitabu vya true billionaires achaneni hao waandishi maskini wakuwajaza ndoto hewa. Ni maoni tu
 
Doctor nakukubali na nakuombea uendelee kutusaidia viumbe wa Mungu kama sisi.Hata yesu ahakuaminiwa na bado alisalitiwa ,kuna watu hapa duniani wamekuja kwa ajili moja ya kutothamini na kujifanya wanajua sana,lakini pia dharau kwa wengne eendelea kuwapuuza.Nataka siku moja nifungue shule yangu kuanzia chekechea mpaka secondary.Naweza soma vitabu gani vya kunisaidia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hao ni wale wamama wa nyumbani wana muda mwingi wa kurelax ndio maana wana uwezo wa kusoma vitabu vingi.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…