Vitabu 54 nilivyosoma na kuchambua kwa kina mwaka 2019, na jinsi ya kuvipata

The so called Dr. kila mtu na mapenzi yake, interest zako kwenye vitabu lazima zitofautiane na mwingine. Sikutegemea Dr. kuandika kama ulivyofanya. Poor you
Mkuu, uko sawa lakini?
Maana naona kama una hasira na maisha hivi halafu unataka kuzimalizia kwangu.
Relax mkuu, sijakulazimisha kusoma hapa, au kukulazimisha kufanya nilichoandika,
Nimeshirikisha experience yangu kupitia usomaji wa vitabu 2019, na kwa yule ambaye anapenda kusoma zaidi kuna hatua za kuchukua.
Kama wewe siyo mmoja wao, unaweza kupita tu,
Kila la kheri mkuu na karibu sana kwenye usomaji wa vitabu.
 
Mkuu, uko sawa lakini?
Maana naona kama una hasira na maisha hivi halafu unataka kuzimalizia kwangu.
Relax mkuu, sijakulazimisha kusoma hapa, au kukulazimisha kufanya nilichoandika,
Nimeshirikisha experience yangu kupitia usomaji wa vitabu 2019, na kwa yule ambaye anapenda kusoma zaidi kuna hatua za kuchukua.
Kama wewe siyo mmoja wao, unaweza kupita tu,
Kila la kheri mkuu na karibu sana kwenye usomaji wa vitabu.
Umaruuufu wa kijinga kijinga kuja kubwabwaja mbele za watu mnabana pua eti nimesoma Vitabu. Twambie basi na Fedha ulozopata mwaka huu.
Acheni ujinga kutwambia vitu vya kipuuuzi, mwishowe mtatuletea na idadi ya mademu mliopita nao 2019
 
Karibu sana mkuu.
Anza na hivi;
1. Think and grow rich
2. Rich Dad, Poor Dad
3.The richest man in babylon
4. The small business bible
5. The psychology of selling
6. Personal MBA
7. 4 Hour work week
8. E-Myth Revisited
9. Built to sell
10. Just Run it.
Ukihitaji kitabu chochote kati ya hivyo nijulishe.
Karibu sana.
Nisaidie namba 4 ikiwezekana
 
Binafsi;

Bado napambana na THE DATING WIZARD, Kimeandikwa na Jamaa anaitwa Michael W.

Huyu Jamaa kajaribu kueleza secrets to success with Women.

Lakini Jamaa kikubwa kajiribu kuelezea na kunitengeneza kuwa real MAN (Not NICE GUY).

Kwa sasa na mie nakula "TUNDA" kimasihara

Baada ya Hapo nitaanza kisoma hivyo vingine Kujijenga kiuchumi zaidi.
 
Kwa nini utegemee kutafsiri mambo ya wengine (wizi maana sidhani kama umepewwa haki hizo), kujiingizia kipato?
KWA nini chambuzi hizo usingezifanya public kama msaada KWA jamii maana tunategemea chanzo chako cha mapato kiwe kimetokana na Elim uliyojifunza humo hivyo fedha ulizopata zinakusukuma Kutoa Elim KWA jamii Bure?


Na mimi napenda kusoma na nimeshadownload vitabu kadhaa Kwenye list hapo baada ya kuviona.


Ufafanuzi tafadhali kama utaona Kuna haja
 
Kwa nini utegemee kutafsiri mambo ya wengine (wizi maana sidhani kama umepewwa haki hizo), kujiingizia kipato?
KWA nini chambuzi hizo usingezifanya public kama msaada KWA jamii maana tunategemea chanzo chako cha mapato kiwe kimetokana na Elim uliyojifunza humo hivyo fedha ulizopata zinakusukuma Kutoa Elim KWA jamii Bure?


Na mimi napenda kusoma na nimeshadownload vitabu kadhaa Kwenye list hapo baada ya kuviona.


Ufafanuzi tafadhali kama utaona Kuna haja
Karibu mkuu,
Sitafsiri, bali nachambua, yaani nachagua yale mambo muhimu mtu anapaswa kujifunza na kufanyia kazi kutoka kwenye kitabu husika.
Hivyo hiyo inawasaidia wale wasioweza kusoma vitabu vingi kwa wakati mmoja.
Hivyo siyo kutafsiri, bali kuchambua na kuchagua mafunzo muhimu.
Chambuzi karibu zote zipo public kwenye mtandao wa AMKA MTANZANIA, unaweza chek link hizi; TANO ZA JUMA – AMKA MTANZANIA na UCHAMBUZI WA VITABU – AMKA MTANZANIA
Hiyo channel ya kulipia ni kwa wale ambao wanapenda kupata chambuzi hizo zikiwa kwenye mfumo mzuri (pdf) na ambao wanaweza kuhifadhi na kufanya rejea muda wowote iwe wana mtandao au hawana.
Hivyo karibu sana, kama utachagua kusoma bure kwenye AMKA MTANZANIA au kuzipata kwenye channel SOMA VITABU TANZANIA kwa ada kidogo ni wewe tu.
 

Attachments

  • Daniel H. Pink - To Sell Is Human_ The Surprising Truth About Moving Others-Riverhead Trade (2...pdf
    2.4 MB · Views: 11
  • Digital Minimalism_ Choosing a Focused Life in a Noisy World by Cal Newport.pdf
    2.1 MB · Views: 11
  • Mike Michalowicz - Profit First_ Transform Your Business from a Cash-Eating Monster to a Money...pdf
    2.2 MB · Views: 10
Karibu mkuu,
Sitafsiri, bali nachambua, yaani nachagua yale mambo muhimu mtu anapaswa kujifunza na kufanyia kazi kutoka kwenye kitabu husika.
Hivyo hiyo inawasaidia wale wasioweza kusoma vitabu vingi kwa wakati mmoja.
Hivyo siyo kutafsiri, bali kuchambua na kuchagua mafunzo muhimu.
Chambuzi karibu zote zipo public kwenye mtandao wa AMKA MTANZANIA, unaweza chek link hizi; TANO ZA JUMA – AMKA MTANZANIA na UCHAMBUZI WA VITABU – AMKA MTANZANIA
Hiyo channel ya kulipia ni kwa wale ambao wanapenda kupata chambuzi hizo zikiwa kwenye mfumo mzuri (pdf) na ambao wanaweza kuhifadhi na kufanya rejea muda wowote iwe wana mtandao au hawana.
Hivyo karibu sana, kama utachagua kusoma bure kwenye AMKA MTANZANIA au kuzipata kwenye channel SOMA VITABU TANZANIA kwa ada kidogo ni wewe tu.
Asante KWA ufafanuzi.
 
Binafsi;

Bado napambana na THE DATING WIZARD, Kimeandikwa na Jamaa anaitwa Michael W.

Huyu Jamaa kajaribu kueleza secrets to success with Women.

Lakini Jamaa kikubwa kajiribu kuelezea na kunitengeneza kuwa real MAN (Not NICE GUY).

Kwa sasa na mie nakula "TUNDA" kimasihara

Baada ya Hapo nitaanza kisoma hivyo vingine Kujijenga kiuchumi zaidi.
Nisaidie hiki mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
2020 naanza na hivi

1. Big money little effort ,mark shipman
2.The next millionaire next door ,Thomas j Stanley, phd
3. My Warren buffet bible by Robert L bloch

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichokigundua kwa mleta mada ninkuwa yaweza kuwa vigumu kutoka kimaisha kwake sababu vitabu vyote alivyosoma ninvya wazungu ambao huandika kulingana na mazingira yao

Kapoteza muda kusoma hiyo.mitabu ya wazungu yaaninyote 50 ya wazungu .

Uache pia kuvaa nguo za wazungu maana zimetengenezwa kwenye mazingira ya wazungu.
 
Watu wanaosomaga somaga vitabu wanajionaga wamepatia sana life.
 
Hongera Sana Daktari. List yangu ya vitabu nilivyosoma mwaka 2019 ni:-
1.How to write reports and proposals by P. Forsyth
2.Become a Better You by Joel Osteen
3.Your personal leadership guide by Ntangeki Nshala
4.5 Levels of leadership by Maxwell
5.Talk like TED
6.The Official TED Guide to public speaking
7.The color of life by Ritha Tarimo
8.Sometimes you win sometimes you loose /learn by Maxwell
9.Guide to persuasive presentation -Harvard Business Review
10.Guide to better business writing -Harvard Business Review
11.On communication -Havard Business Review
12.One Nation by Ben Carson, MD
13.On managing yourself -Havard Business Review
14.I can, I must I, will by Mengi
15.Thinking for change by Maxwell
16.University of Success by OG Mandino(the must read book)
17.leadership when the heat's is on by Cox with Hoover
18.Speak so you audience can listen by Robin Kermode
19.On leadership -Havard Business Review.


Vitabu vilivyo kwenye list yangu ya January 2020 ni:-
1.Born a crime -Trevo Noah
2.5.AM Club -Robbin Sharma
3.Space -X -Elon Musk
4.The 21 irrefutable laws of leadership -Maxwell
5.My life my purpose.-Ben Mkapa

Sent using Jamii Forums mobile app

Number 16 is a big volume how do you read a 1000+ pages book to the end Nina copy ya University of Success cha OG Mandino na 16 Laws of Success cha Napoleon Hill nashindwa hata kuvianza cause they are big volumes kwakweli! Naomba ujanja nianzeje?
 
Number 16 is a big volume how do you read a 1000+ pages book to the end Nina copy ya University of Success cha OG Mandino na 16 Laws of Success cha Napoleon Hill nashindwa hata kuvianza cause they are big volumes kwakweli! Naomba ujanja nianzeje?
Ni kitabu kizuri Sana. Nilikipangia Saa mbili kila siku asubuhi Kuanzia saa 12:30 asubuhi mpaka saa 2:30 asubuhi. Zile semster zote ziliisha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom