sundoka
JF-Expert Member
- Oct 9, 2011
- 2,067
- 2,749
Mi nahitaji vitabu kama hivi lakini hard copy nijisomee mwenyewe nyumbani nikimaliza nibaki navyo kwa ajili ya watu wengine kusoma na pia kiwa na library yangu mwentewe nyumbani. Pia kupunguza addiction yangu na electronic devices kama simu na computer maana vinaharibu macho na macho yangu yameshaanza kuwa na shida. Msaada tafadhali kama naweza kuvipata popote tuwasiliane PM. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app