Kivumishi Kielezi
JF-Expert Member
- Nov 1, 2019
- 1,028
- 2,448
Kuna nchi inajiita "super power", lakini imeshindwa kudhibiti kanchi kaduchu kama Ukraine.
Ndani ya miezi miwili ni stori tu. Vita imegeuka kuwa propaganda na porojo za kwenye mitandao ya kijamii na kwenye television.
Siku hizi wamekuja na hadithi mpya, wanasema ati wanajeshi wamerudi nyuma (sijui hata nyuma ya wapi?).
Mara sijui wanajeshi wana kiu hawana maji. Porojo kibao.
Baada ya igizo la corona kubuma, wazee wameamua kuja na tamthiliya mpya ya vita. Ni mwendo wa isidingo zisizo na mwisho.
Yaliyojificha nyuma ya maigizo haya tutayajua baada ya kitambo kifupi. Bado kitambo kifupi Ulimwengu utaamka kutoka usingizini.
Unaweza kuwadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya siku zote.
Ndani ya miezi miwili ni stori tu. Vita imegeuka kuwa propaganda na porojo za kwenye mitandao ya kijamii na kwenye television.
Siku hizi wamekuja na hadithi mpya, wanasema ati wanajeshi wamerudi nyuma (sijui hata nyuma ya wapi?).
Mara sijui wanajeshi wana kiu hawana maji. Porojo kibao.
Baada ya igizo la corona kubuma, wazee wameamua kuja na tamthiliya mpya ya vita. Ni mwendo wa isidingo zisizo na mwisho.
Yaliyojificha nyuma ya maigizo haya tutayajua baada ya kitambo kifupi. Bado kitambo kifupi Ulimwengu utaamka kutoka usingizini.
Unaweza kuwadanganya watu, lakini huwezi kuwadanganya siku zote.