Aliyetoa tuhumu dhidi ya Msekwa ni mbunge wa CCM na anajulikana yupo upande gani wa gamba.
Tukae mkao wa kula maana mwishoni mwa siku kashfa zote za wana CCM zitaweka hadharani ili tuone nani mwenye ujasiri wa kumnyooshea mwenzake kidole.
Hiki kidingi kinakera sana na sauti yake ya kubana pua
Aliyetoa tuhumu dhidi ya Msekwa ni mbunge wa CCM na anajulikana yupo upande gani wa gamba.
Tukae mkao wa kula maana mwishoni mwa siku kashfa zote za wana CCM zitaweka hadharani ili tuone nani mwenye ujasiri wa kumnyooshea mwenzake kidole.