Labffa kwenye video games na movie mnazoangalia.
Vita kuu ya tatu ya dunia inaweza isitokee na ikitokea basi itakua vita ya kuangamiza. Isiyofaa dunia na matokeo yake yatakua mabaya. Hususan katika karne hii ambayo nchi nyingi zimejitosheleza kimashambuliza.
Unadhani, kilichotokea kati ya ukraine na russia, israel na palestine pale Gaza. Ngoma ziinazopigka kule Congo na jeshi dogo tu la UN na la watanzania wakiwepo, vita ya tatu na criterias za vita zikisema zishuke. Dunia hakutakua na pakukojoa.
Na vita msije sema eti si lazma mtutu utumke. Kwa dunia ya sasa. Mtutu ni lazimaaaaa.