Mavindozii
JF-Expert Member
- Oct 20, 2012
- 2,111
- 2,759
Kwa mtizamo wangu naona hivi vita vitaisha muda si mrefu. Kwa sababu, Putin hana tena ujanja, rais wa Uturuki na kiongozi wa india wameshamwambia achana na hivyo vita. Wanajeshi wengi wa kirusi hawana tena na morari wa hii vita. Na Putin hawezi tena kutuma jeshi tena maana wamebaki tu wa kulinda nyumbani.
Lingine ni kuwekewa vizuizi vya uchumi na kutengwa na dunia. Ukiona unatengwa mpaka kwenye mazishi wewe ni hopeless ni sawasawa na toilet paper ukishafutia matako haina tena thamani. Lingine silaha zinaanza kumwishia huyu shetani Putin.
Kuna silaha nyingi sana zinaingizwa Ukraine kutoka magharibi ambazo mimi na wewe hatuzijui. Ni zaidi ya HIMARS. Kuna wanajeshi wengi sana wa ukraine ambao wako mafunzoni kwenye nchi za magharibi. Wanajeshi wengi na wataalamu wa usa wapo ukraine wanaendesha hizi mitambo na satellite satellite ambazo zinaona kila movement ya jeshi la Russia.
Elewa pale mji mkuu wa Ukraine wakati wa uvamizi wa wale wanajeshi wa parachute, wamerekani waliwajulisha jeshi la ukraine wakaa mkao wa kuuwa tu lile jeshi imara la russian. Mbinu ya kuuteka mji mkuu na uwanja wa ndege ukakwama.
Russia anatumia analog na machuma ya kizamani. Halafu warusi wengi ambao ni matajiri wako against Putin wanamwinda sana, amewasababishia hasara sanaa. Kuna siku utasikia wamemchinjilia mbali.
Lingine ni kuwekewa vizuizi vya uchumi na kutengwa na dunia. Ukiona unatengwa mpaka kwenye mazishi wewe ni hopeless ni sawasawa na toilet paper ukishafutia matako haina tena thamani. Lingine silaha zinaanza kumwishia huyu shetani Putin.
Kuna silaha nyingi sana zinaingizwa Ukraine kutoka magharibi ambazo mimi na wewe hatuzijui. Ni zaidi ya HIMARS. Kuna wanajeshi wengi sana wa ukraine ambao wako mafunzoni kwenye nchi za magharibi. Wanajeshi wengi na wataalamu wa usa wapo ukraine wanaendesha hizi mitambo na satellite satellite ambazo zinaona kila movement ya jeshi la Russia.
Elewa pale mji mkuu wa Ukraine wakati wa uvamizi wa wale wanajeshi wa parachute, wamerekani waliwajulisha jeshi la ukraine wakaa mkao wa kuuwa tu lile jeshi imara la russian. Mbinu ya kuuteka mji mkuu na uwanja wa ndege ukakwama.
Russia anatumia analog na machuma ya kizamani. Halafu warusi wengi ambao ni matajiri wako against Putin wanamwinda sana, amewasababishia hasara sanaa. Kuna siku utasikia wamemchinjilia mbali.