Vita vya kisasa ni vita vya drones?

Vita vya kisasa ni vita vya drones?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
10,904
Reaction score
18,865
Drones zitakuwa zinaamua vita za kisasa au bado zina nafasi ndogo tu?

Drones kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe huko Myanmar

images.jpeg

Drones kwenye vita ya Ukraine na Russia.

419276563-scaled-1280x720-c-center.jpg
 
Einstein alisema hajui vita ya 3 ya dunia itapiganwa na Nini ila anajua vita ya nne watu watapigana kwa fimbo na mawe hapa ndio china Russia na USA wanajitahidi dunia isiende huko
 
Wachawi wa afrika nao wataunda drone zao za kisasa zaidi badala ya ungo
 
Back
Top Bottom