Abdull Kazi
JF-Expert Member
- Dec 29, 2012
- 345
- 307
Muda huu halmashauri kuu ya wilaya CCM Nzega kinaendelea na kikao chake kwa kutoa taarifa kwa Kinana.
Moja ya taarifa hizo ni namna mbunge wa Nzega alivyowaita wanaCCM kuwa ni mzigo wa mavi katika moja ya mikutano yake kukisema vibaya chama hicho na serikali yake mbele ya jamii na kwamba ni mtu ambaye haeleweki.
Wakati taarifa ikimkaanga dk. Kigwangwala kwa upande wa Pili umeelezea mchango mkubwa unaofanywa na Husein Bashe ktk chama ikiwemo kutoa zaidi ya baiskeli 350 na pikipiki moja kwa kila jumuiya ya chama wilaya na mabalozi wamepatiwa baiskeli.
Vita vyao vilianza kujionesha asubuhi ya leo wakati wakimpokea Kinana katika eneo la Ziba Igunga ambapo Bashe aliwahi kufika katika mlango wa gari ya Kinana na kumfungulia mlango huku Kigwangwala akiwa ameduwaa.
Ndiyo kwanza asubuhi tusubiri tuone mpambano huu utakavyoisha.
UPDATE
Katika uzinduzi wa matawi ya CCM na ukaguzi wa miradi michango mbali mbali inatolewa maeneo matatu, Kigwangwala anaahidi Bashe anatoa keshi, Kinana uzalendo na maadili ya urefa yanamshinda, anasema Bashe ndiye mwenye kufaa hajafafanua anafaa katika nini katika eneo LA while ya sekondari Kampala wanafunzi wanadai Bashe awasalimie.
Katibu mkuu anapotezea wanafunzi wanamshangilia Bashe ni hatari katika mpambano huu.
Moja ya taarifa hizo ni namna mbunge wa Nzega alivyowaita wanaCCM kuwa ni mzigo wa mavi katika moja ya mikutano yake kukisema vibaya chama hicho na serikali yake mbele ya jamii na kwamba ni mtu ambaye haeleweki.
Wakati taarifa ikimkaanga dk. Kigwangwala kwa upande wa Pili umeelezea mchango mkubwa unaofanywa na Husein Bashe ktk chama ikiwemo kutoa zaidi ya baiskeli 350 na pikipiki moja kwa kila jumuiya ya chama wilaya na mabalozi wamepatiwa baiskeli.
Vita vyao vilianza kujionesha asubuhi ya leo wakati wakimpokea Kinana katika eneo la Ziba Igunga ambapo Bashe aliwahi kufika katika mlango wa gari ya Kinana na kumfungulia mlango huku Kigwangwala akiwa ameduwaa.
Ndiyo kwanza asubuhi tusubiri tuone mpambano huu utakavyoisha.
UPDATE
Katika uzinduzi wa matawi ya CCM na ukaguzi wa miradi michango mbali mbali inatolewa maeneo matatu, Kigwangwala anaahidi Bashe anatoa keshi, Kinana uzalendo na maadili ya urefa yanamshinda, anasema Bashe ndiye mwenye kufaa hajafafanua anafaa katika nini katika eneo LA while ya sekondari Kampala wanafunzi wanadai Bashe awasalimie.
Katibu mkuu anapotezea wanafunzi wanamshangilia Bashe ni hatari katika mpambano huu.