Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 16,637
- 31,135
Urusi ipiBado sana kupambana na taifa kama Marekani hasa kwenye Air Power... Hata Urusi yenyewe kuzuia mashambulizi ya USA kwa uhakika ni ngumu ila wanaloweza kufanya ni kuwa na uwezo mkubwa wa kufanya retaliation hivyo kumfanya adui ashindwa kukushambulia. Irani bado wana safari ndefu sana.
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app