Vita kati ya nassib na ndumbaro damas

Vita kati ya nassib na ndumbaro damas

kanda2

JF-Expert Member
Joined
Apr 22, 2007
Posts
1,319
Reaction score
76
uchaguzi wa tff unakaribia ambapo nafasi ya makamu wa pili wa tff inagombewa na ramadhan nassib na john ncimbi.lakini aliyegombea nafasi hiyo uchaguzi uliopita bwana damas ndumbaro amekuwa akimpiga vita nassib kwenye uchaguzi huu.ndumbaro amenunua waandishi wa magazeti mbali mbali hasa mwananchi na magazeti ya michezo ya mtanzania ili kummaliza nassib.

anachotaka ndumbaro hakijulikani.alishindwa kwenye uchaguzi vibaya sana na sasa anaogopa kushiriki kwa kupata fedhaha ya kubwagwa vibaya. Sasa anapita pembeni kummaliza nassib.

tusubiri february 28 wakati john nchimbi kivuli cha ndumbaro atakapokwaana na nassib ramadhan...
 
Mchezo mbaya wa kutumia waandishi uchwara kushambuliana
 
Back
Top Bottom