Vita dhidi ya Ujangili: Serikali yakanusha habari za Daily Mail

Serikali imeshikwa pabaya, hakuna pa kutokea. Wakubali madhaifu na wayafanyie kazi.
 
Madai ya Daily Mail ni kuwa NYARA karibu zote zinazotoka nchini zilikamatwa nje ya nchi badala ya ndani.
Mheshimiwa Waziri kuonesha kuwa Daily Mail ni wazushi Katoa takwimu zifuatazo:
1.Katika miaka mitatu kuanzia 2010 hadi mwaka jana , jmla ya kilo19,943 sawa na tani 20 za meno ya tembo zilikamatwa nchini ambapo watuhumiwa 322 walikamatwa na kufikishwa katika vyombo vya sheria.
2. tani 12.2 za meno ya Tembo zilikamatwa nchni mwaka jana pekee ambapo watuhumiwa 145 walitiwa mbaroni akiwamo raia wa Uingereza.

Nani mkweli katika hili Daily Mail au Waziri Nyalandu? Tuache kupiga mipasho humu jf kwa sababu tu eti habari imaeandikwa na chombo cha nje kwani inawezekana kabisa wametumiwa kuandika uzushi ili kuifedhehesha serikali. Nani hajui mahusiano kati ya Chama kinachoongoza uingerereza na baadhi ya vyama vya upinzani hapa nchini na hasa ukizingatia kuwa vyma hivyo vimepigwa mweleka na chama tawala kwenye uchaguzi mdogo wa Madiwani. Mimi naamini Dail Mail wametumiwa na Wafuasi wa CHADEMA walioko Uingereza kuifedhehesha serikali yetu. Ni kweli kuwa tatizo la ujangili ni kubwa siyo Tanzania tu bali nchi nyingi za kiafrika, lakini siyo sahihi kutoa taarifa za kizushi kiasi hiki.

Mkuu,
You Must be very Giniaz aisee.
Nakubaliana na wewe Kabisaa, Hawa CHADEMA hawa ndo walisuka na kufanikisha Mpango mzima wa kumpandisha Ndege yule TWIGA wetu pale KIA na kumpeleka Arabuni.
Hawa CHADEMA hawana Maana Kabisa.
Una akili nyingi sana Mkuu
 
Wao wakanushe tu lakn watanzania bado hatuwaamin viongoz wetu katika kulinda na kutetea masilahi ya wananch, hivyo kukanusha kwa taarifa hzo ni sawa na kurudisha uhusiano kwa mwanamke uliyempa talaka 3 hata akikusikiliza hatakwamini kamwe...hicho ndo serikali yetu inachofanya
 
Ha ha ha ha. Serikali ni ya majambazi, na hao ndo wanatuhumiwa kufadhili ujambazi wa kuua tembo halafu leo wanakujana taarifa kuwa habari ya Dail mail ni ya uongo. Basi kwa utarataratibu huu nashauri mahabusi wote walioko magerezani nao wawe wanahukumu kesi zao. Serikali ya JK ni ya kidhalimu na rushwa. hakuna la kupinga.
 
adolay, don't waste your time. The guy can't speak English, unless he responds to you with a support from his cohorts.
You can read his posts and discover that, his is being used. If he had a bit of brains, he could be able to differentiate between matters of national interests and those of political mileage.

Asante mkuu hawa watu sijuwi wanalipwa kiasigani .....wanatuabisha sana watanzania.
 
watanzania tumelala sana. Daily mail wamelishwa maneno na Makamanda wa CHADEMA walioko U.k ili kumfedhehesha Rais kwenye mkutano ulioitwa na Mwana mfalme sisi tunarukia kushabikia, mbona hawakuandika zamani?[/QUOTE
Kaka mbona unaleta utetezi wa kipuuzi..mimi ni ni mwachama wa CCM kama ulivyo wewe lakini linapokuja suala la ustawi wa rasilimali zetu hakuna unazi yapo kabisaaa. Hapo sijaona utetezi wowte wa maana wa Waziri ati. Kuna kipindi mtandao mmoja wa mareiani walitoa taarifa ya utafiti juu ya uwepo wa bandari kavu kibao zinashusha madawa ya kulevya na huwa yanasindikizwa na magari ya vyombo vya usalama lakini ikakanushwa kwa kudai serikali iko makini lakini wapi madawa yanakatwa kutoka Tanzania na mengine hapa hapa DSM lakini hakuna hata mmoja ktk mtandao aliyekamatwa. Ndio maana kwa sasa wanaamua kufuatilia wauza unga toka nje ya nchi majeshi ya wahisani na kuyaangaiza wenyewe sababu hatuaminiki.

Kukamata vikilo 200 hivyo ataamka mwanansiasa mzigo ajisifu tunapigana kuvunja mtandao..hakuna kitu hapo. Waziri anazungumzia tu meno ya tembo yaliyokamatwa tu lakini yale ambayo yanapita na kwenda kutengenesha hayo mapambo sijui tunayajua na yalikuwepo kwenye takwimu!! TUusitumie takwimu tu zinazoonekana wakati zile ambazo hazijaonekana zipo na tembo wanateketea. Katika hili kwa kweli sio CHADEMA CUF au hata shetani nitamuunga mkono akizungumzia ushenzi huu. Serikali haina namna kukwepa lawama sababu rushwa tuliamua kuvunja azimio wana CCM wenyewe ili tumalize mali asili zetu tubaki tunatazamana tu kama maboga..PATHETIC
 
Ikulu ya Tanzania imetoa taarifa ndefu kukanusha juu ya Tanzania kuua tembo 11,000 kama ilivyoripotiwa na gazeti la Sunday Mail la Uingereza.

Taarifa ya Ikulu imesema sio kweli kuwa Rais kikwete amelala usingizi huku akiacha tembo wanauawa bila kuchukua hatua. Baadhi ya mambo ambayo Ikulu imekiri kuwa si kweli ni pamoja na;

1. Kwamba katika ziara ya Rais Hu Jintao, maafisa wa china walipakia shehena ya meno ya tembo kwenye ndege hiyo. Hata hivyo ikulu imesema haiwezi kujibu sana hoja hii bali utawala wa China ndio ujibu.

2; Kwamba serikali kupitia CCM ina mpango wa kuuza shehena ya meno ya Tembo ili kupata fedha za kampeni

3: Kwamba Kagasheki alitaja watu wanaouza meno ya tembo lakini JK akafumba macho kuchukua hatua na pia Kagasheki alianzisha oparesheni ya kukabiliana na majangili lakini JK hakusaidia kitu.

4: Kwamba ndugu wa karibu wa JK wanahusika na biashara ya meno ya tembo. Ikulu.imeomba itajiwe majina hayo.

Pia kuna mengine mengi ambayo serikali imeyakanusha licha ya kuandikwa na gazeti hilo la Uingereza. Soon nitaiweka ripoti yote hapa iliyotoka Ikulu.
 
Baada ya serikali kupitia kwa Waziri wa Maliasili na Utalii kukanusha habari zilizoandikwa na gazeti la Daily Mail la Uingereza kuhusiana na ujangili wa wanyama kuwa ni za uongo, Ikulu nayo imekanusha habari hizo kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari iliyotolewa Februari 11, 2013 kama inavyosemeka hapo chini.

Inavyoonekana walioandika hiyo press release hawajui hilo gazeti la Sunday Mail ni la aina gani. Press release inasema kuwa "It is sad for renowned newspaper like the Sunday Mail to engage in gossip [udaku].." Hata hivyo, Daily Mail/Sunday is a tabloid newspaper. Tabloid newspapers zinajikita zaidi kwenye habari za kiudaku (gossip) aka tabloid journalism.

Kwa hiyo, nashindwa kuelewa Ikulu inaposikitikikia gazeti hilo kuandika habari za kidaku wakati ni gazeti la kidaku anyway. Ni sawa na kusikitikia magazeti mashuhuri kama yale Shingongo kuandika habari za kidaku.
Habari za kidaku ni one-sided and they hardly follow the said "cardinal principles of journalism".

====================

PRESS RELEASE


PRESS STATEMENT ON CLAIMS BY THE SUNDAY MAIL NEWSPAPER


In its last weekend edition, The Sunday Mail Newspaper of Britain published an article entitled: "Tanzania slaughters over 11,000 elephants a year for the bloody trade in tusks and its President turns a blind eye."

In a completely one-sided article and in complete disregard to one of the cardinal principles of journalism, which compels responsible journalists to balance their stories by seeking responses from all concerned parties in their stories, the writer, one Mr. Martin Flechter further claims: "Mr. Kikwete's regime has presided over a slaughter of elephants that is unprecedented in his country's history."

This story is a deliberate distortion of the truth about the efforts being expended by the government of Tanzania. It is malicious, preposterous and contemptible. Contrary to what is being claimed in this story, there are heightened efforts and major achievements are being made by President Kikwete's administration in wildlife conservation and anti poaching drive. To blame his Government and claim that it is presiding over slaughter of elephants is typical case of blaming the victim and ignoring the serious efforts being made by his government. Instead of engaging in these unfounded and malicious attacks, the Government of Tanzania deserves compliments and words of encouragement to stay the course and intensify the fight.

Nobody is denying that the problem of poaching is real and big. We in Tanzania have noticed increased poaching activities since 2009. But these heightened illegal activities have been responded to commensurately through many bold and innovative initiatives and actions by President Kikwete's administration.

Here are some of the facts about the war President Kikwete and his Government is leading and waging against poaching of elephants and illegal ivory trade in Tanzania:

At independence, Tanzania had an estimated elephant population of about 350,000. During the first wave of elephant poaching in the 1970 and 1980s by 1989 Tanzania had 55,000 elephants left. That year the Government decided to involve the military and launched Operation "Uhai" to fight poaching. This intervention coupled with CITES ban on ivory trade brought relief and the numbers began to increase and reached 110,000 in 2009. This was the time of President Kikwete.

Following resumption and the intensification of poaching after 2009, the President ordered the Police to assist wildlife officials in the fight against poaching. As a result Police-led Operation Kipepeo was launched. It was implemented in three phases in the Selous Game Reserve and in the neighbouring districts of Namtumbo, Liwale and Tunduru and other parts of both Ruvuma and Lindi Regions. The operation succeeded in arresting more than 220 poachers, confiscation of more than 125 guns and more than 245 rounds of ammunition and seizure of more than 50 pieces of ivory an various other items used in poaching.

In 2012 the Government established a Joint Inter-Institutional Task Force involving officials from the Ministry of Natural Resources and Tourism, The Tanzania National Parks Authority TANAPA) and the Ngorongoro Conservation Area Authority (NCAA). The Task Force carried out an operation in Arusha and Manyara Regions which led to the arrest of 40 core poachers, identified and crippled their criminal syndicates operating in Ngorongoro Conservation Area, Lake Manyara and Tarangire National Parks and the surrounding areas, including the City of Arusha. As a result of this operation, elephant killings were cut down from six per month to just one in three months. Of recent, there have been no reports of elephant killing in these parks.

To complement efforts of the Police-led "Operation Kipepeo" and the Ministry-led Inter-Institutional Task Forces, in 2013 President Kikwete ordered the Tanzanian Military to support the efforts. Hence "Operation Tokomeza" was undertaken in October, 2013. It was temporarily suspended because of need to investigate reports and claims of human rights abuses. However, the Operation will resume shortly. A lot was achieved during the time of the Operation. For example; 962 suspected poachers were arrested, 202 pieces of ivory were impounded, 779 guns and 2095 rounds of ammunition of various calibers were confiscated and 4949 herds of cattle found grazing inside protected areas were removed. We expect more to be achieved on resumption.

The government has never been resting in its efforts to deal with poachers and illegal ivory trade. The record of arrest of poachers, confiscation of arms and ammunition and seizure of ivory during this administration speaks for itself. With this track record to assert that the President and his government has been doing nothing and overseeing the slaughter of elephants is a gross miss representation and distortion of facts and truth. It is unfair as well.

The assertion that all the big seizures of ivory have been done outside and not in Tanzania is not true as well. In 2013, 12.2 tons of raw ivory and 52.3 kilograms of worked ivory were seized within Tanzania. The total amount of tons of ivory confiscated within Tanzania between 2010 and 2013 is 19.993 tons. Is that amount small? The total amount of ivory seized in countries outside Tanzania – in China-Hong Kong, Malaysia/China, Hong Kong/Malaysia and Malawi – within that same period is 17.697 tons. Why should we not believe that your newspaper is engaged in a deliberate smear campaign against the President and the Government of Tanzania?

The Government has hired more staff – more officers, more rangers, more scouts and more wardens for National Parks and Game Reserves and for specific areas such as the Ngorongoro Conservation Area (NCA). The Government is finalizing the employment of 900 more staff for the Wildlife Division alone. More equipment has been bought for wildlife staff – more patrol vehicles, more GPS's instruments, more binoculars, more night vision goggles, more uniform as well as more tents, more air mattresses and more rucksacks. However, the Government still needs more equipment to match the existing challenges in wildlife conservation.

Surely, this story cannot be a tale of a President or of a Government turning a blind eye or overseeing the slaughter of elephants.

There are also factual errors in Mr. Fletcher's story that need to be addressed as they help create a misrepresentation of what the Government of Tanzania is doing in this regard:

That the President's Office is sitting on a dossier submitted last year by the former Minister of Tourism and Natural Resources Hon. Khamisi Sued Kagasheki, which among other things identified prominent Tanzanians involved in poaching activities. This is an absolute lie. No such dossier has ever been submitted to the President by Honourable Kagasheki, when he was Minister.

That, the Honourable Kagasheki as Minister launched a military crackdown which led to hundreds of arrests. The truth of the matter is the involvement of the military was the President's idea. It is the President who gave orders for the same. In Tanzania, only the President as Commander in Chief has the mandate and power to issue orders to the military. Nobody else can do so.

That, Minister Kagasheki was dismissed. Again, this is not true. Hon. Kagasheki resigned in Parliament taking political responsibility for allegations of human rights abuses during the implementation of Operation Tokomeza as revealed by a Parliamentary Select Committee.

That, traders in ivory include even a close relative of President Kikwete. The President would be grateful to get the name of this "close relative and the veracity of the allegations. Otherwise, this claim also deserves contempt.

That, a Channel 4 documentary claimed that when Hu Jintao, the then Chinese President, visited Tanzania in 2010, his officials took illegal ivory back home on his plane. Although this is for the Chinese Government to respond to, we find it hard to comprehend or believe the allegations. It is sad for renowned newspaper like the Sunday Mail to engage in gossip and distorting allegations against President Jintao.

That, the Government of Tanzania wants to sell its ivory stockpile ostensibly to raise money for conservation but in reality it is meant to fill CCM's coffers before next year's elections. Again, this is an outrageous accusation, absolutely baseless. The Government of Tanzania has not been asked by CCM to help in raising funds. Therefore, there is no basis for your newspaper to make such claims. Moreover, since Doha CITES's meeting, the Government is not contemplating requesting permission to sell its ivory stockpile. This allegation is an outright lie and clearly shows that your reporter was a victim of his own poor judgment in assessing the information he got from his so-called sources.

The President of Tanzania and his Government do not take this report and the allegations contained in it lightly. It is our sincere hope that you will be courageous and honest enough to rectify these obvious gaps in your article.

Issued by:

Directorate of Presidential Communications,
State House
Dar es Salaam
11th February, 2014

 
Porojo tu! Kikwete akisaidiana na kamanda wake Kinana ndio majangiri wakuu wa maangamizi ya tembo hapa nchini!
 
duh! maandishi yote hayo unalijibu gazeti la udaku?!.salva kajitutumua kweli na kizungu chake hapo.
 
Serikali dhalimu ya CCM isipoondoka madarakani, tembo watazidi kuisha tu! Habari ndefu lakini ushuzi mtupu! Serikali ya kitapeli kazi yake ni kukanusha kila kitu dhidi yake kwa nia ya kujisafisha, hata kama ushahidi wa jambo upo wazi kabisa. Eti serikali ya Kikwete ipewe pongezi kwa kushughulikia ujangili!

Pongezi zipi? Za kuua wananchi wasiohusika na kuwaacha majangili wakuu na vinara wa biashara hiyo wakitamalaki? Mbona wale waliokamatwa na meno ya tembo kesi zao hatujazisikia mahakamani? Na huyo kinara mkuu wa ujangili, Kinana je? Mbona bado anatembea kila siku kifua mbele mitaani? Kichefuchefu!
 
Wamejikanyaga sana. Wametumia nguvu kubwa sana kujibu gazeti la udaku...

Wanasema raisi pekee ndio anamamlaka ya kutumia jeshi...sasa kwanini raisi kupitia Pinda aliwatimua mawaziri wa mambo ya ndani , ulinzi etc???? Au ndio kusema kamati ya wabunge wa ccm walipewa maagizo kulaumu mawaziri tu...ili Kikwete aonekane msafi nje?


Wamesema kuhusu kuuza meno ya tembo yaliokamatwa, ccm haielekezi serikali wapi pakupata pesa ya uchaguzi..... Rais Kikwete amesahau ameingia vipi Ikulu???? Hakumbuki wakina Rostam wasio na wadhifa serikalini bali waweka hazina wa chama waliagiza serikali itoe pesa za EPA kwa ajili ya uchaguzi wa ccm na kikwete. Na lilipolipuka serikali kupitia MEGHJI walikana kabisa kuwepo kwa huo wizi. Baadae wakasema ni siri za serikali, mara siri za jeshi...eventually ndio tukapata picha ya KAGODA....bado mnataka tuamini ngonjera mlizoandika hapo juu???

Kila siku tunaona wanaokamatwa kwenye madawa ya,kulevya, ujangili etc...hata Hosea alimwanbia ofisa wa ubalozi wa marekani (WkiLeaks)...Kikwete hataki kushugulikia wazito.
juzi juzi..mkuu wa kikosi cha madawa ya kulevya amefunga safari kwenda south africa kuhakikisha mtuhumiwa kutoka tanzania anapata dhamana na arudishwe tanzania...jamaa huyo huyo alishalalamikiwa na Mengi live kwenye TV akihusika kumbambikia mtoto wake madawa ya kulevya.bado unataka tuone una nia ya dhati kumaliza haya matatizo?


Serikali yetu imezoea kuwa inashitaki na kuhukumu magazeti na kuyafungia..baadala ya kuyapeleka mahakamani, kuwasilisha ushahidi ili mahakama iamue kama kweli gazeti limefanya kosa na kutoa hukumu..sasa kwenye hili wanepanic...


Rais Kikwete akitaka aaminike aweke effort kwenye intelligence.. Kamata viongozi wa hii mitandao... Wengi ni watu wakaribu sana na chama na serikali.... Kutoa statistics zinazoonyeha mmekamata wanavijiji wakiwinda wanyama au walalahoi wamebeba unga ni mchezo wa kitoto.
Mnasema mmewekeza pesa nyingi kupambana na ujangili etc....hata kwenye budget za matumizi ya serikali mnaongeza ma billioni kila mwaka, mpaka wakina Jairo wanaagiza mashirika kuchabga 50m each ili wabunge wahongwe budget ipite...kisa??? Zipatikane pesa za maendeleo au za kula viongozi wa chama na serikali..??? Reports za CAG zina majibu.. Zifanyie kazi..
 
Kumbe CCM wana uwezo kununua gazeti la Jamhuri tu! Hilo la Daily Mail hawana mbavu za kulinunua.
 
Wamejikanyaga sana. Wametumia nguvu kubwa sana kujibu gazeti la udaku...

Wanasema raisi pekee ndio anamamlaka ya kutumia jeshi...sasa kwanini raisi kupitia Pinda aliwatimua mawaziri wa mambo ya ndani , ulinzi etc???? Au ndio kusema kamati ya wabunge wa ccm walipewa maagizo kulaumu mawaziri tu...ili Kikwete aonekane msafi nje?


Wamesema kuhusu kuuza meno ya tembo yaliokamatwa, ccm haielekezi serikali
Wapi pakupata pesa ya uchaguzi..... Rais Kikwete amesahau ameingia vipi Ikulu???? Hakumbuki wakina Rostam wasio na wadhifa serikalini bali waweka hazina wa chama waliagiza serikali itoe pesa za EPA kwa ajili ya uchaguzi wa ccm na kikwete. Na lilipolipuka serikali kupitia MEGHJI walikana kabisa kuwepo kwa huo wizi. Baadae wakasema ni siri za serikali, mara siri za jeshi...eventually ndio tukapata picha ya KAGODA....bado mnataka tuamini ngonjera mlizoandika hapo juu???

Kila siku tunaona wanaokamatwa kwenye madawa ya,kulevya, ujangiki etc...hata Hosea alimwanbia ofisa wa ubalozi wa marekani...Kikwete hataki kushugulikia wazito.juzi juzi..mkuu wa kikosi cha madawa ya kulevya amefunga safari kwenda south africa kuhakikisha mtuhumiwa kutoka tanzania anapata dhamana na arudishwe tanzania...jamaa huyo huyo alishalalamikiwa na Mengi live kwenye TV akihusika kumbambikia mtoto wake madawa ya kulevya.


Serikali yetu imezoea kuwa inashitaki na kuhukumu magazeti na kuyafungia..baadala ya kuyapeleka mahakamani, kuwasilisha ushahidi ili mahakama iamue kama kweli gazeti limefanya kosa..sasa kwenye hili wanepanic...


Rais Kikwete akitaka aaminike aweke effort kwenye intelligence.. Kamata viongozi wa hii mitandao... Wengi ni watu wakaribu sana na chama na serikali.... Kutoa statistics zinazoonyeha mmekamata wanavijiji wakiwinda wanyama au walalahoi wamebeba unga nimchezo wa kitoto.
Mnasema mmewekeza pesa nyingi kupambana na ujangili etc....hata kwenye budget za matumisi ya serikali mnaongeza ma billions kila mwaka, mpaka wakina Jairo wanaagiza mashirika kuchabga 50m each ili wabunge wahongwe budget ipite...kisa??? Zipatikane pesa za maendeleo au za kula viongozi wa chama na serikali..??? Reports za CAG zina majibu.. Zifanyie kazi..

Mkuu,

Sina cha kuongeza kwa sasa, isipokuwa kunukuu maneno yako malefu isivyokawaida yangu. Inatia uchungu, inatia hasira!
 
Udaku gani? Mmepatikana this time, mmezoea kuwadanganya wabongo, hao huwezi kuwadanganya wakati wote! Hivi Salva ameiona ile video ya ITV ya Uingereza kuhusu ujangili huu iliyoshutiwa bongo kwa secret filming, iliyoko You Tube, ambayo ipo pia katika Forum hii? Chama Cha Mizigo!
 
Hapa bk 7 hawakanyagi, wako huko marudio ya uchaguzi wa magamba na cdm. Tutafika tu, it's a matter of time!
 
Back
Top Bottom