Kuna maswali huwa najiuliza sana kuhusu hiki wanachoita "vita dhidi ya madawa ya kulevya " bila kupata majibu . Ukiangalia kwa umakini utagundua hii vita ni usanii mtupu na haitafanikiwa daima.
Inavyoonekana kwa hapa Tanzania kutumia dawa za kulevya siyo kosa bt kuuza ndo kosa kwa maana kwamba mtumiaji hana kosa tunaishia kuwaita waadhirika wa madawa.
Kwa mtazamo wangu naona ili kufanikiwa ktk hili , watumiaji ndo wangekuwa watuhumiwa namba moja na wawe na kosa la kujibu.
Mfano mtu akikutwa anavuta bangi atafikishwa mahakaman on the spot lakini kwa watumiaji wa madawa tunachofanya ni kuwapa tiba.
Cha kujiuliza hivi kulikuwa na sababu ya msingi ya mr president kumgharimia Ray C matibabu ? Pili kwa nini Ray C asiwataje waliokuwa wanamuuzia hayo madawa ili wafikishwe mahakamani?
Tutafakari kwa umakini sana
Inavyoonekana kwa hapa Tanzania kutumia dawa za kulevya siyo kosa bt kuuza ndo kosa kwa maana kwamba mtumiaji hana kosa tunaishia kuwaita waadhirika wa madawa.
Kwa mtazamo wangu naona ili kufanikiwa ktk hili , watumiaji ndo wangekuwa watuhumiwa namba moja na wawe na kosa la kujibu.
Mfano mtu akikutwa anavuta bangi atafikishwa mahakaman on the spot lakini kwa watumiaji wa madawa tunachofanya ni kuwapa tiba.
Cha kujiuliza hivi kulikuwa na sababu ya msingi ya mr president kumgharimia Ray C matibabu ? Pili kwa nini Ray C asiwataje waliokuwa wanamuuzia hayo madawa ili wafikishwe mahakamani?
Tutafakari kwa umakini sana