Kijana saa 12 asubuhi tayari macho mekundu kisungura kimeshamchapa. Mpaka saa 6 mchana anaongea pumba tupu.
IGP intelejensia yako miaka 15 mbele Taifa linaonekana liko wapi?
Viongozi mnaacha watoto wa maskini wapagawe kwa visungura ili watoto wenu wakirudi toka ULAYA wagawane majimbo kirahisi?