CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,464
Wiki ijayo ndo show inaanza so mimi nitakuwepo Nairobi
Naingia hapo Alihmaisi mkuu Mungu akipendaLeo nilienda kwenye maonyesho, lkn hayajachangamka Sana, lkn nashukuru vitu nilivyokusudia kuviona nimeviona, kwa tar. yenu mliokusudia kuja nadhani yatakua yamechangamka sana,
Kuanzia.juma tano yatakuwa yamechanganya sanaLeo nilienda kwenye maonyesho, lkn hayajachangamka Sana, lkn nashukuru vitu nilivyokusudia kuviona nimeviona, kwa tar. yenu mliokusudia kuja nadhani yatakua yamechangamka sana,
Ni kweli leo mabanda yalikua yana ukaguzi watu walichelewa sana kuingia na wengi wao ndio walikua wanaanda mabanda, mi nilionelea niende leo kwasababu ntasafiri kurudi TZ niende siku mbili hiziKuanzia.juma tano yatakuwa yamechanganya sana
Nisha rudiKila la heri mkuu
Nisha rudi