Visit Rwanda - Twende Rwanda rafiki

Hahaha ntampa babe๐Ÿ˜‚
Mpe umtoe wenge..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Hiyo siku atazima, na umpe kisawasawa mpaka aje aanzishe uzi ๐Ÿคฃ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ
 
Mpe umtoe wenge..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Hiyo siku atazima, na umpe kisawasawa mpaka aje aanzishe uzi ๐Ÿคฃ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ๐Ÿƒโ€โ™€๏ธโ€โžก๏ธ
Khaaa ila lamo๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜… hebu muache mwenzio muaminifu, unataka aanze kuchakata za jukwaa zima๐Ÿคฃ
 
Mbona unamuandama babe wangu lamomy๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚hebu mpumzishe mambo ya past tuachane nayo
Treeeenaaaah ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Watu na mabebe zenu!!

Basi nimeacha ila umpe kweli mwanangu sasa sio unamjaza tu hapa maghetoni huendi..!! ๐Ÿ˜น
 
Treeeenaaaah ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Watu na mabebe zenu!!

Basi nimeacha ila umpe kweli mwanangu sasa sio unamjaza tu hapa maghetoni huendi..!! ๐Ÿ˜น
mabebe zetu jf๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Hapa ndio najiandaa niende๐Ÿ˜†
 
Mimi nasema Rwanda ni kama watu wako jela. Yaani hawana uhuru. Ndio maana nikakwambia kama unafanya kibiashara. Andaa tour za Nairobi na Kampala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ