Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,198
- 7,536
- Thread starter
- #61
Mkuu, bei za vitu zinapandishwa na vitu vingi. Kwa hiyo kabla ya kulaumu mtu kwa tatizo fulani, ni lazima ujue kwa uhakika chanzo cha tatizo ni nini.Mafanikio wakati kila kitu kimepanda Bei?
Mfano, tukimlaumu baba yako kwa vitu kupanda bei ni sawa? Bila shaka sio sawa kwa kuwa sio yeye aliyepandisha na hana uwezo wa kushusha.
Kupanda kwa bei ya mafuta huchangiwa zaidi na sababu za nje kuliko za ndani.