NYENJENKURU
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 1,063
- 288
Ndugu wana JF naleta kwenu hii maada na muone maafisa Uhamiaji wa Tanzania tulivyo wa ajaabu.Kisa ni kama hivi.Mtu anaenda Ubalozi wa Tanzania kama vile Marekani anataka kuja Tanzania kufanya workshop ya week moja au mbili anepewa visa yake anakuja Tanzania.Akifaka labda anaenda Ifakara Morogoro anakutana na afisa uhamihaji anamwambia wewe unafanya nini hapa Mzungu anamwabia nimekuja kwenye workshop hapa Ifakara.Afisa anamwambia hiyo visas yako waliyokupa siyo ya halali unatakiwa unipe tena dola mia nikupe nyingine.Mzungu anauliza kwa vipi unipe nyingine wakati mimi nimeenda kwenye ubalozi wenu hapo WDC nikawaelza nachotaka kwenda kufanya Ifakara halafu wewe unasema WALIKOSEA kukupa visa ya kufanaya workshop.Twende polisi.Je swali la nani wa kulaumiwa?Mgeni au Afisa uhamiaji wa Ubalozi?Au huyu wa Ifakara?Je wezentu wanyafanya hivyo?
Naomba tutajidili kama labda kuna nini hapo kuhusu mfumo wetu wa Visa.
Naomba tutajidili kama labda kuna nini hapo kuhusu mfumo wetu wa Visa.