sultanwjps
Member
- Jun 27, 2010
- 14
- 0
Mwanamke mmoja aliyekua akiishi vijijini alitongozwa na wanaume wawili Wamakonde katika siku moja basi kwa maksudi aliwapa miadi katika pori saa za usiku . na wote aliwapa miadi pahala palepale. Huyu mwanamke alifika pale pahala saa moja kabla ya wakati na akapanda juu ya mti na kujificha.
Wakati ulipokaribia Mmakonde wa kwanza akafika pale pahala ili kukutana na yule mwanamke na akakaa kungojea na akawa anaenda na kurudi kama amesahau kitu
ndio mara yule Mmakonde wapili akatokea na kumuona yule wakwanza anaenda na kurudi , yeye akasimama kungojea , wakakaa hivi ndio mara yule wakwanza akamuuliza yule wapili
Wewew kaka alikua unangoja nini hapa nchituni
yule wapili akamuuliza yule wakwanza , wewe alikua unauliza mimi nangoja nini
kwani wewee alikua anakwenda wapi
yule wakwanza akajibu : Mimi alikua anakwenda kutafuta maputa {mafuta}
na yule wapili akajibu : Mapuuta mapuuta , hukunchituni kuna muuza mapuuta
baada ya haya wakaanza kupigana na yule mwanamke kule juu kajificha anawacheka
Wakati ulipokaribia Mmakonde wa kwanza akafika pale pahala ili kukutana na yule mwanamke na akakaa kungojea na akawa anaenda na kurudi kama amesahau kitu
ndio mara yule Mmakonde wapili akatokea na kumuona yule wakwanza anaenda na kurudi , yeye akasimama kungojea , wakakaa hivi ndio mara yule wakwanza akamuuliza yule wapili
Wewew kaka alikua unangoja nini hapa nchituni
yule wapili akamuuliza yule wakwanza , wewe alikua unauliza mimi nangoja nini
kwani wewee alikua anakwenda wapi
yule wakwanza akajibu : Mimi alikua anakwenda kutafuta maputa {mafuta}
na yule wapili akajibu : Mapuuta mapuuta , hukunchituni kuna muuza mapuuta
baada ya haya wakaanza kupigana na yule mwanamke kule juu kajificha anawacheka