Visa vya kwenye ndoa

Visa vya kwenye ndoa

Info Boy

Member
Joined
Sep 9, 2013
Posts
33
Reaction score
6
Tangazo:

Mtu mwenye watoto 10 atazawadiwa milioni 50, jamaa mmoja baada ya kusikia tangazo akamwambia mke wake, sisi tuna watoto 9, ila nikwambie mke wangu mimi nina mtoto 1 nje ya ndoa, naomba tumchukue na huyo wawe 10 tupate hizo milioni 50. Mkewe akamwambia poa, jamaa
akaenda kumfata huyo mtoto.

Aliporudi hakuwaona wale 9, akamuuliza mkewe watoto wako wapi? Mkewe akajibu baba zao walipoona tangazo nao
wamekuja kuchukua watoto wao. Jamaa akazimia! -

See more at
: SWAHILI SMS
 
umeikopi akpos the comedian labda tu umejitahd kutafsir
 
Dah,ingekua mi ndo hyo dingi ningeenda home FASTA ili tukaribie 10 maana huwezi jua Dingi angu ameleta wengne ili tufike 10 na izo Mil 10 ziende kwetu angalau.
 
hahahaaa!!! its similar to this..!
 vbK r EHIAAAAAASUVORK5CYII=
 
Back
Top Bottom