Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,108
- 37,644
Ingia google!! imekuwa ni gumzo dunia nzima!Hamna kitabu kilichoandika hayo mkuu...propaganda za westerners hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha Ujinga ..penda kufuatilia Mambo kwa Utulivu.Tafuta hicho kitabu.Hamna kitabu kilichoandika hayo mkuu...propaganda za westerners hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ficha Ujinga ..penda kufuatilia Mambo kwa Utulivu.Tafuta hicho kitabu.
Mfano mdogo kama Kuna mtu amefuatilia The Lasthip TV series hiyo ataona walichokuwa wanazungumzia.Ni related to ila sema wao si Corona...Kuna vitu vingi sana watu wamecheza mpaka na Movie kwa Budget kubwa sema tu.Vilivyomo hatujui..ila kuna mengi tu.Ingia google!! imekuwa ni gumzo dunia nzima! View attachment 1362319View attachment 1362320
Na utakuta hapo alipo ana elimu kubwa tu lakini ndiyo akili yake imeishia hapo alipo.Umesikia Jambo kama hilo.Ingia kwenye Source tafuta upate maarifa.
Hamna kitabu kilichoandika hayo mkuu...propaganda za westerners hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile outbreak ya mle si mchezo, hata ile tiba yake ya kutumia air spraying medicine si mchezo mkuuMfano mdogo kama Kuna mtu amefuatilia The Lasthip TV series hiyo ataona walichokuwa wanazungumzia.Ni related to ila sema wao si Corona...Kuna vitu vingi sana watu wamecheza mpaka na Movie kwa Budget kubwa sema tu.Vilivyomo hatujui..ila kuna mengi tu.
Sitaki kusema mengi juu ya aliyebisha kuwa hakuna.Watu huwa hawajifunzi..bado wanakaa nyuma ya Maarifa.Ile outbreak ya mle si mchezo, hata ile tiba yake ya kutumia air spraying medicine si mchezo mkuu
mkuu hii ni page/chapta ya ngapi?Hii novel imeandikwa mwaka 1981!View attachment 1362308
Hamna kitabu kilichoandika hayo mkuu...propaganda za westerners hizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamini baada ya kukisoma hicho kitabu.Hatari mkuuAisee siamini bado