Viruses wanatokea wap hasa!!!

Viruses wanatokea wap hasa!!!

2in1

JF-Expert Member
Joined
Mar 29, 2014
Posts
224
Reaction score
109
Hv hawa viruses ktk hz devices origin yao ni wap
 
virus ni software program kama zilivo program zingine za comp,coz kila program or computer program designed it has specific task
 
Hv hawa viruses ktk hz devices origin yao ni wap
Mwanzoni kabisa kuna wanafunzi waliokuwa wanafanya programming wakiwa Lab, So Mwalimu wao akawa anawapa homework za kufanya wakiwa wanaenda makwao, Siku moja kuna mwanafunzi alipewa kazi ya homework ya programming, Aliporudisha ile kazi ilikuwa errors nyingi sana, yaani ikawa inafanya kazi tofauti na ilivyokusudiwa, so tokea hapo wale wanafunzi wakawa wanajua wakitengeza code flani tofauti na ilivyokusudia zitaenda kuharibu program au system na itakuwa inafanya kazi tofauti na ilivyokusudiwa. So tokea hapo wakawa wanatengeneza code zenye errors ambazo zikawa zinaharibu system iliyopo. Virus = code errors
 
teh....teh.... nilicho gundua humu hatuna wataalam wakutosha wengi wetutunaweza ubishi wa nani kafanya nini basi
maada kama hiz wanao changia ni wa chache kweli ila ingekuwa alie anzisha facebook ni ni nani comment zinge jam,
haya mm napita na wa salimia tu wakuu
 
Back
Top Bottom