viroba vilikuwa na TBS mark for a very long time.

Pozzers

JF-Expert Member
Sep 14, 2013
336
560
lakini sasa hivi wanasema ni vibaya

number one reason i dont trust the govt
 
lakini sasa hivi wanasema ni vibaya

number one reason i dont trust the govt
Kuwa na TBS mark ni nembo ya ubora.
Baada ya sera ya kulinda mazingira ya afrika mashariki ndipo likaja azimio hilo la kuzuia uzagaaji wa plastics zikiwemo zitokanazo na viroba.

Sasa ukiwa huna taarifa unaweza kukurupuka na kulaumu bila kufahamu.

Na ndo maana wakapewa muda tokea May 20 2016 taarifa ikatolewa hvyo wajiandae
 
Back
Top Bottom