Vipi unamchukuliaje huyu mwanamke?

Vipi unamchukuliaje huyu mwanamke?

Hapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan , saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.
tatizo unashindwa kuwaelewa wanawake, hapo anataka utume hela ya matibabu anashindwa kukuambia direct tu
 
Inaonekana wewe kila mara unamwomba kipapune chake na yeye hayuko tayari kwa wakati huo
Yaan yeye kila siku baby naumwa , mara kifua kinanibana mara nyonga imeachana na mwili hamna siku ambayo yeye ni mzima.
 
Uwe unampa hela kila mara kabla hata ajasema anaumwa
HAPO HATAWEZA KURUKARUKA
 
Hv unauepukaj mzinga wa baby naumwa? Maana sipendagi mizinga mm.
 
Duh! Kwahiyo baby naumwa ndio mzinga? Sie wengine tumeshazoea "baby nikwambie kitu!" ndio mzinga
Huo ndio mzinga nao kama hujui ni mzinga wa kijanja, ila wa baby nikwambie kitu huo ndio huwa balaa kuliko yote.
 
angekua wangu huyo nngemkatia bima ya afya mwaka mzima elf 50 na mia nne nmemaliza kazi.
 
Back
Top Bottom