tatizo unashindwa kuwaelewa wanawake, hapo anataka utume hela ya matibabu anashindwa kukuambia direct tuHapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan, saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.
Yaan yeye kila siku baby naumwa, mara kifua kinanibana mara nyonga imeachana na mwili hamna siku ambayo yeye ni mzima.
![]()

Yaan yeye kila siku baby naumwa, mara kifua kinanibana mara nyonga imeachana na mwili hamna siku ambayo yeye ni mzima.
![]()
KakaUvivu tu umamsumbua huyo!
Ngalikihinja,UMEJUAJE KAMA SIO UMBEYA?😎😎Hapo hela tu anataka....
Hello mdogoKaka
Duh! Kwahiyo baby naumwa ndio mzinga? Sie wengine tumeshazoea "baby nikwambie kitu!" ndio mzingaHv unauepukaj mzinga wa baby naumwa? Maana sipendagi mizinga mm.















Nakuhamu mimi jamaniHello mdogo