Hapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan [emoji1787][emoji1787][emoji1787], saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.Kwwhiyo unataka akuambie kuwa ni mzima wakati ni mgonjwa? Hapo utakua unataka kugegeda unanyimwa daily kwa kisingizio cha ugonjwa.
Vumilia tu yatapita.
Shemela, wewe si nesi, ukampime...Nanda nae mkapime VVU
Hapo hela tu anataka....Hapana sijamuomba mzigo ila yeye yupo mbali kidogo sasa mm simuelewi kila siku naumwa had kero yaan [emoji1787][emoji1787][emoji1787], saiv mwez sasa ni meseji za naumwa tu.
Hapana shemelaShemela, wewe si nesi, ukampime...