Manstone
JF-Expert Member
- May 12, 2013
- 511
- 310
Habari wana jf?
katika kipindi cha taarifa ya habari ya ITV, kuna riporters mbalimbali wa mikoani ambao hukusanya taarifa sehemu hizo kama ilivyo ada.
Miongoni mwa riporters hao wengi wao huwa tunaona sura zao, lakini kuna hawa wawili kiukweli huwa natamani kuwaona sura zao lakini mpaka leo sijafanikiwa akiwa George Marato Kutoka Mara & Faruku Kharimu[/u] Kutoka Zanzibar.
Je nini haswa hawa riporters wanafanya wasionekana sura zao haswa huyu George Marato asionekane siku moja sura yake kama wenzao?
katika kipindi cha taarifa ya habari ya ITV, kuna riporters mbalimbali wa mikoani ambao hukusanya taarifa sehemu hizo kama ilivyo ada.
Miongoni mwa riporters hao wengi wao huwa tunaona sura zao, lakini kuna hawa wawili kiukweli huwa natamani kuwaona sura zao lakini mpaka leo sijafanikiwa akiwa George Marato Kutoka Mara & Faruku Kharimu[/u] Kutoka Zanzibar.
Je nini haswa hawa riporters wanafanya wasionekana sura zao haswa huyu George Marato asionekane siku moja sura yake kama wenzao?