Salummjr
Member
- Aug 19, 2018
- 25
- 6
Habari wana JF kwa muda mrefu nimekuwa nikiishi nae huyu rafiki angu kama mdogo wangu wa karibu sana ila jambo alilokuja kuniambia leo na kunambia nimpe ushauri kidogo nilisita na nikamwambia anipe mda nitamjibu.
Picha ipo hivi: Ni kijana wa miaka 22 - 25 ametokea kupendwa na msichana ambae ni mke wa mtu kwa miaka sita (6) sasa yupo kwenye ndoa, ni kwa muda sasa anaishi nae kwa siri bila ya mtu yeyote kutambua lengo lao ni kuja kuwa mke na mume japokuwa mwanamke yupo kwa mumewe kwa sasa.
Mahusiano yao yalianza pindi msichana alipokuja kumuelezea huyu kijana jinsi gani anateseka na ndoa yake, anasema kwamba mumewe hana huduma, anamdharau na kumdhalilisha hivyo akaamua kuanzisha mahusiano na kijana huyo.
Hadi sasa wapo katika mahusiano ila alichokuja kugundua yule kijana kuwa huyu msichana ana mahusiano mengine na mzee mmoja pale pale mtaani kwao.
Nahitaji kumsaidia kama mdogo wangu nini afanye.
Nimeandika kwa ufupi kama kuna maswali unaweza kuniuliza.
Picha ipo hivi: Ni kijana wa miaka 22 - 25 ametokea kupendwa na msichana ambae ni mke wa mtu kwa miaka sita (6) sasa yupo kwenye ndoa, ni kwa muda sasa anaishi nae kwa siri bila ya mtu yeyote kutambua lengo lao ni kuja kuwa mke na mume japokuwa mwanamke yupo kwa mumewe kwa sasa.
Mahusiano yao yalianza pindi msichana alipokuja kumuelezea huyu kijana jinsi gani anateseka na ndoa yake, anasema kwamba mumewe hana huduma, anamdharau na kumdhalilisha hivyo akaamua kuanzisha mahusiano na kijana huyo.
Hadi sasa wapo katika mahusiano ila alichokuja kugundua yule kijana kuwa huyu msichana ana mahusiano mengine na mzee mmoja pale pale mtaani kwao.
Nahitaji kumsaidia kama mdogo wangu nini afanye.
Nimeandika kwa ufupi kama kuna maswali unaweza kuniuliza.