Vipi mshahara wa March tayari?

Vipi mshahara wa March tayari?

Hivi nyinyi mna akili gani? Umeshindwa kuuliza huko unakuja kupiga makelele humu, kwanini msijiunge na mobile???
 
Najua sana kuanzia tarehe 20 mpaka 25 lazima mshahara uwe umetoka, mwezi uliopita sikumbuki!
Asante kwa majibu yako, hapo kwenye avatar ni wewe?nimevutiwa sana na muonekano wako,samahani kwa kukuuliza miswali,watoto wazuri hawaulizwagi miswali ya hovyohovyo.
 
Asante kwa majibu yako, hapo kwenye avatar ni wewe?nimevutiwa sana na muonekano wako,samahani kwa kukuuliza miswali,watoto wazuri hawaulizwagi miswali ya hovyohovyo.
Hapana sio mimi Mkuu.
 
serikali yangu kwa sasa haina pesa. labda msubiri hadi tarehe 10april nitawawekea nusu. kwani kwa sasa watu hawatoi kodi na me nategemea kodi kwahiyo kwa sasa sina hela... we piga kazi
mbna cc wanajeshi tiali...
 
Back
Top Bottom