Hapo kwenye bold sijakuelewa kabisa mkuu!!
Hapana mkuu, sina sifa ya kuwa hatari katika maswala hayo. Hata hivyo, najuta kuyajuaa mapenzi mapema..!!
Hata kama ni kwa bahati mbaya........?
kwa hyo unataka nife au?
mmmhh!! inaonekana alikufikisha pabaya aisee lady in action
nianze kwa kujifunza,mwanamke ni mtu wa kubadilika muda wowote ule. mwaka na miezi 3 sasa tangu aliponiacha maumivu alioniachi hayaelezeki na mpaka muda huu sijaona wa kufanana nae japo alikuwa wa kawaida lakin kwa upendo niliokuwa nao kwake natamani kurudiana nae,na nileo nilikuwa nawazia hilo ila sijui nianzie wapi.lakin nimempenda sana,ushauri wangu kama uko na mpenzi wako wakati huu,usijaribu kamwe kufikiria kumuacha taabu yake hasimuliki nawaapien msijaribu.
tumeambiwa tusamehe lakini huyu kiumbe hata angekuja na magoti umbal wa km 100 siwezi kumsamehe na always namuombea mabaya tu.
To hell maex wote wakafie mbali huko sihitaji hata mmoja .....
tumeambiwa tusamehe lakini huyu kiumbe hata angekuja na magoti umbal wa km 100 siwezi kumsamehe na always namuombea mabaya tu.
mimi sijutii aiseee japokuwa huwa nakumbuka
Mkuu memory ni nini vile?
To hell maex wote wakafie mbali huko sihitaji hata mmoja .....
mi x sitaki hata kumsikia kifo kingekua kinaombewa ningemwombea afe