Tugutuke
JF-Expert Member
- Apr 21, 2011
- 501
- 165
Habari wana JF.
Naomba nidadavuliwe kuhusu hili.
Hivi wale wanaosikika kwenye Muvi za Yesu Kristu ambao wametafsiri lugha na kutamka maneno yaliyotamkwa na Yesu kwa Kiswahili ni wa Tz au?.. Maana sijawahi kujua ni nani hasa aliyetafsiri kanda ya Yesu. Kuna sauti mbili ya Kiume na Kike,na wako wapi hawa jamaa? Mwenye uhakika plz,let me know.
Naomba nidadavuliwe kuhusu hili.
Hivi wale wanaosikika kwenye Muvi za Yesu Kristu ambao wametafsiri lugha na kutamka maneno yaliyotamkwa na Yesu kwa Kiswahili ni wa Tz au?.. Maana sijawahi kujua ni nani hasa aliyetafsiri kanda ya Yesu. Kuna sauti mbili ya Kiume na Kike,na wako wapi hawa jamaa? Mwenye uhakika plz,let me know.