Mjenda Chilo
JF-Expert Member
- Jul 20, 2011
- 1,467
- 513
Nyinyi watanganyika kwani z'bar inawahusu nini mbona kila wakati z'bar hivi mara z'bar vile hata mambo ya uzushi ilimradi tu mpate cha kuandika kuhusu z'bar hata kama hivyo vipeperushi vip ni propaganda ya kitanganyika ili kuwaga waz'bar na kuendelea kuwatawala kimawazo
mbona mtu mwenye mawazo ya sheik farid kumtawala ni kama kumsukuma mlevi?