kilema
Member
- Feb 23, 2009
- 59
- 0
Sipendi siasa na sipendi. Hii ndo nini? ....kutokuwajibika kiakili na fikra muflisi!
Inabidi ukistaafu siasa umuungamie mwenyezi mungu. Na ili toba ikubaliwe ni lazima urudishe vile uliwaibia wananchi na kuwaomba msamaha kwa dhambi zote ikiwa ni pamoja na kutokutimiza wajibu. Ndio maana wanasiasa wanaogopa kustaafu mpaka wafie kazini na dhambi zao na lazima waende jehanamu wakachomwe milele.
Inabidi ukistaafu siasa umuungamie mwenyezi mungu. Na ili toba ikubaliwe ni lazima urudishe vile uliwaibia wananchi na kuwaomba msamaha kwa dhambi zote ikiwa ni pamoja na kutokutimiza wajibu. Ndio maana wanasiasa wanaogopa kustaafu mpaka wafie kazini na dhambi zao na lazima waende jehanamu wakachomwe milele.